Kabul Airport waambulia ndege na magari mabovu

Watauza sklepa
 
usa ni akili kubwa mnoo hata kama hizo ndege ni zima ujue wanamahesabu yao wanafanya yakiwa ni kwa manufaa ya nchi yao.Ni swala la mda tu watu watawaelewa, hata kuodoka afughanistani watu wanafikiri wamekurupuka lakini sikivile, ili ,uwaelewe hawa jamaa calculation zao lazima uwe big brain .
 
Kuna waganda kibao wanakusanya chuma chakavu, usishangae ukakuta engine ya black hawks inauzwa kampala
 
Sasa mmeamini hawa wajinga wameshindwa Vita na kuondolewa,hasira wanamalizia kuharibu magari na ndege,
Superpower imegeuka kuwa kituko siku hizi
 
Umenifata pm kabisa bila aibu unataka nikukule tigo!!!?
mashoga mpo wengi hakika ona noma
Mwanaume rijali aliyekamilika na anaye jiamini hawezi kua na vimaneno vya kitoto na vya kutunga,wewe ni mpumbavu usiyejielewa,

Fuata ushauri niliyokupa,acha kuruka ruka hovyo hapa kama Kuku aliyekatwa kichwa kisha akaachiwa ghafla,wazazi wako wana hasara kubwa sana.
 
Acha ushabiki wa kitoto watatengeneza kwa ujuzi na vifaa vipi?
Tatizo lako unawachukulia Taleban kama vilaza fulani hivi. Kwa taarifa yako tu neno Taleban maana yake ni wanafunzi na Taleban iliundwa na vijana wasomi wenye ari ya kujifunza ili kupambana pamoja na Mujahiddin wengine dhidi ya majeshi ya Urusi yaliyoivamia Afghanistan na kuikalia kwa miaka kumi kuanzia 1979 hadi 1989 kabla ya kushindwa vita na kuondoka kwa aibu. Hao jamaa wana elimu nyingi kuhusu silaha maana hata bunduki wanazotumia nyingi wanatengeneza wenyewe. Pia, wanapata msaada kutoka Iran, Russia, China, Qatar na mataifa mengine ya Kiarabu. Kwahiyo kukarabati hizo ndege ni rahisi tu wakitaka.
 

Mmarekani kashindwa vita hadi silaha kasahau! Kweli kapatikana!
 
Usinifate pm bana tafuta watu saizi yako wakusukumishe ukuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…