Te Lavista
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,626
- 2,846
Acha kuniuliza maswali ya kitoto wewe. Tatizo hii JF sasa hivi imejaa vitoto ambavyo haviwezi kusoma na kuelewa hoja zinazozungumziwa.
Sikia dogo chukua Biblia yako na uisome vizuri kisha utapata majibu yote uliyoniuliza. Ukiona kuna mahali kwenye Biblia umeambiwa sali na umwombe Mama Maria, sawa fanya hivyo. Na ukiona kuna mahali Biblia yako inakuambia uwaombe wafu wakuombee, pia ni sawa fanya hivyo.
Acha kuniuliza maswali ya kitoto wewe. Tatizo hii JF sasa hivi imejaa vitoto ambavyo haviwezi kusoma na kuelewa hoja zinazozungumziwa
Sikia dogo chukua Biblia yako na uisome vizuri kisha utapata majibu yote uliyoniuliza. Ukiona kuna mahali kwenye Biblia
umeambiwa sali na umwombe Mama Maria, sawa fanya hivyo. Na ukiona kuna mahali Biblia yako inakuambia uwaombe wafu
wakuombee, pia ni sawa fanya hivyo.
Jibu swali uliloulizwa sio unapalamia vitu vingineAcha kuniuliza maswali ya kitoto wewe. Tatizo hii JF sasa hivi imejaa vitoto ambavyo haviwezi kusoma na kuelewa hoja zinazozungumziwa.
Sikia dogo chukua Biblia yako na uisome vizuri kisha utapata majibu yote uliyoniuliza. Ukiona kuna mahali kwenye Biblia umeambiwa sali na umwombe Mama Maria, sawa fanya hivyo. Na ukiona kuna mahali Biblia yako inakuambia uwaombe wafu wakuombee, pia ni sawa fanya hivyo.
Ni ushahidi upi ambao wewe umeku convince mpaka ukaamini mada hii? Je ukiitwa urudie kuzungumza yaliyoandikwa hapo, utaweza?Ubarikiwe Nimesoma Na Kuchunguza Nikagundua Kuna Ukwel % 100 Ila Kuna Watakao Kuja Kupinga Bila Hoja Watakuja Na Sera Kwamba Nyie Mnajifanya Watakatifu Wengine Watasema Biblia Imekataza Kuhukumu Wakifikili Apa Umehukumu Kila Mtu Ataleta Lake.
Wewe unaamini katika nini?, na ni dini/dhehebu gani linalofundisha ukweli kuhusu Kristo?Mkuu hili Kanisa Katoliki linafundisha uwongo sana. Hakuna ushahidi wowote hata wa kihistoria tu unao onesha kuwa Mtume Petro aliwahi kuishi Roma. Hakika kabisa Kanisa hili ni adui namba moja wa UKRISTO duniani.
Mimi naamini katika amri za MUNGU na imani ya YESU KRISTO. Mafundisho yangu nayapata kwa kusoma Biblia. Sina dhehebu lolote sababu madhehebu niliyojaribu kuyachunguza wanafundisha kinyume na "maandiko" na mimi sitaki kukwazika kwa kwenda kwenye ibada zao.Wewe unaamini katika nini?, na ni dini/dhehebu gani linalofundisha ukweli kuhusu Kristo?
Mimi naamini katika amri za MUNGU na imani ya YESU KRISTO. Mafundisho yangu nayapata kwa kusoma Biblia. Sina dhehebu lolote sababu madhehebu niliyojaribu kuyachunguza wanafundisha kinyume na "maandiko" na mimi sitaki kukwazika kwa kwenda kwenye ibada zao.
Mkuu Chagga King ukitaka kujua YESU alifundisha nini chukua BIBLIA yako na usome; MATHAYO kuanzia aya ya 5 mpaka aya ya 7. Hapo utaona mambo yote ambayo Mkristo anatakiwa kufanya ili aweze kuurithi uzima wa milele. Kwenda kanisani hakuwezi kamwe kukuokoa, ili uokolewe unatakiwa kuyasikia maneno ya BWANA YESU na kuyafanya kwa vitendo.
Tena unapaswa kutenga siku moja nzima ambayo utakuwa unaitumia kujisomea Biblia yako ili kuongeza ujuzi wa NENO la MUNGU. Mimi binafsi nimeitenga siku ya Jumamosi kama siku ya kusoma Biblia tu na kujifunza NENO la MUNGU. Siku hii sifanyi kazi yoyote ile.
Kwasababu ndiyo siku ninaona inafaa kwa mimi kupumzika. Jumapili ina "matongo tongo" mengi sana ya upagani. Na naona nikiifanya siku yangu ya kumpumzika nakuwa kama nakwazika sana.Kwa nini jumamosi?
Ni chuki ya kurithi,baba zao(mafarisayo) walimzushia Yesu uzushi km huu,Hivi chuki ya wasabato kwa wakatoriki chanzo chake ni nini? Maana historia inaeleza madhehebu mengi yametokana na ukatoriki, lakini huwezi mkuta msabato akikosoa warutheri.
Siyo watu tuHivyo vitabu viliandikwa kwa nia ya kupotosha UKWELI. Ndiyo maana viliposomwa havikukubaliwa kujumuishwa kwenye Biblia. Biblia haikujumuishwa na mtu mmoja tu, walikaa watu tofauti wakakubaliana kipi kiwemo na kipi kisiwemo ndani ya Biblia.
Kila kilichofanywa na mitume kiliandikwa ktk biblia?Mabaki ya Petro yamepatikana Jerusalemu, hii ina maana kuwa alifia Jerusalem. Hata kama Biblia haisemi ni wapi alipofia lakini Biblia imesema wazi kabisa kuwa Petro hakufika Roma. Hilo halina ubishi.
Paulo aliandika kila kitu alipokuwa Roma, kama Petro alikwenda Roma; iweje Paulo aandike vyote lakini asiandike kabisa habari za Petro akiwa Roma??
Iweje Petro mwenyewe asiandike kabisa waraka kuhusu Roma?? Hivi kweli inakuingia akilini, Mtume kama Petro akae Roma kwa miaka 24 AKIWA PAPA asiandike chochote kile kwa ajili ya vizazi vijavyo??
Hivi ninyi Wakatoliki mnapodanganywa akili zenu huwa hazifikirii kabisa au mmeleweshwa na mvinyo ya yule kahaba aliyenenwa katika UFUNUO 17:1-6
Kaka una hasira balaaAcha kuniuliza maswali ya kitoto wewe. Tatizo hii JF sasa hivi imejaa vitoto ambavyo haviwezi kusoma na kuelewa hoja zinazozungumziwa.
Sikia dogo chukua Biblia yako na uisome vizuri kisha utapata majibu yote uliyoniuliza. Ukiona kuna mahali kwenye Biblia umeambiwa sali na umwombe Mama Maria, sawa fanya hivyo. Na ukiona kuna mahali Biblia yako inakuambia uwaombe wafu wakuombee, pia ni sawa fanya hivyo.
Anza kwanza kusoma histolia ya hiyo biblia unayosema unaiamini uone kama haikutoka mkononi mwa dini(ukatoliki)Mimi naamini katika amri za MUNGU na imani ya YESU KRISTO. Mafundisho yangu nayapata kwa kusoma Biblia. Sina dhehebu lolote sababu madhehebu niliyojaribu kuyachunguza wanafundisha kinyume na "maandiko" na mimi sitaki kukwazika kwa kwenda kwenye ibada zao.
Mkuu Chagga King ukitaka kujua YESU alifundisha nini chukua BIBLIA yako na usome; MATHAYO kuanzia aya ya 5 mpaka aya ya 7. Hapo utaona mambo yote ambayo Mkristo anatakiwa kufanya ili aweze kuurithi uzima wa milele. Kwenda kanisani hakuwezi kamwe kukuokoa, ili uokolewe unatakiwa kuyasikia maneno ya BWANA YESU na kuyafanya kwa vitendo.
Tena unapaswa kutenga siku moja nzima ambayo utakuwa unaitumia kujisomea Biblia yako ili kuongeza ujuzi wa NENO la MUNGU. Mimi binafsi nimeitenga siku ya Jumamosi kama siku ya kusoma Biblia tu na kujifunza NENO la MUNGU. Siku hii sifanyi kazi yoyote ile.