Kwani huyo unafikiri hajafunza kuwa kufanya hivyo ni vibaya,sasa mbona una msingizia au alikuletea wewe π€Mbowe kahongwa pesa na mama yake Abdul.
Lissu alisema haongeki kama wengine wanaoongwa. Ulielewa?
Chawa wanakichafua chama pendwa kwa watanzania Chadema.Kwani makamanda wanasemaje?
Wanasiasa ni matapeli
Kamanda umepagawa kusikia ukweli kuhusu Mbowe?Kwani huyo unafikiri hajafunza kuwa kufanya hivyo ni vibaya,sasa mbona una msingizia au alikuletea wewe π€
Hakuna kupotea yote hiyo mipango ya akina chademaphobia a.k.a chawa Lumumba π€£Kama mambo ndiyo haya Chama kinakwenda kupotea
Ndio kwakuwa mimi sii miongoni mwao ChademaphobiaKamanda umepagawa kusikia ukweli kuhusu Mbowe?
Kuna wenzio pia walikuwa kwenye denial kama wewe mwisho wakakubali mwenyekiti ni kibaka
yule upendo PENEZA ALISHAMALIZA KAZI YAKEView attachment 3013685
Anaitwa Abiud Pallangyo mtoto wa mpigania uhuru namba moja kanda ya kaskazini.
Amesema sasa imetosha na kutamka hadharani kuwa Mbowe ni mwizi na kibaka aliyepokea rushwa kutoka kwa Mama Abdul.
Ashangaa kwa nini kila siku watu wakitaka kusema uovu unaoendelea Chadema wanaambiwa wakae kimya watakigawa chama!!
Amewapiga mkwara aliowaita machawa wa Mbowe kuwa wasijaribu kuendelea kumchokoza ataanika kila kitu kuhusu Mbowe.
Hakunaga Chama pale, Aziz alishakinunua kitambo sana na swaiba wake laigwanani πΌKama mambo ndiyo haya Chama kinakwenda kupotea