Kada maarufu wa CHADEMA amuita Mbowe kibaka mbele ya kadamnasi

Hv kwanini Mbowe kila wakati?😁😁😁 Yani hata wakienda kuoga mbowe, kujisaidia mbowe, jamani 🚮🚮 Watasubiri sana mbwe yupo tu.
Kuna waliompenda mbowe mara 1000 zaidi yako niamini mimi ila ikafika wakati wakasema hapana hapa kuna soda he is using us kupata anachotafuta
 
Mbowe anakula rushwa toka kwa mama Abdul.
Wapi Takukuru? Kamata wote hawa mtoaji mpokeaji na huyu hapa mwenye taarifa za rushwa anaandika hapa badala ya kuleta taarifa kwenu zifanyiwe kazi! Anaficha vitendo vya rushwa kwanini ana maslahi gani kwavyo?! Sukuma ndani huyu sonology.
 
Wapi Takukuru? Kamata wote hawa mtoaji mpokeaji na huyu hapa mwenye taarifa za rushwa anaandika hapa badala ya kuleta taarifa kwenu zifanyiwe kazi! Anaficha vitendo vya rushwa kwanini ana maslahi gani kwavyo?! Sukuma ndani huyu sonology.
Mkuu mbona rushwa zingine zinaandikwa hapa au unafikir mbowe ni untouchable kwa kila mtu mpaka uzuie watu kusema hadharani uovu wake wa kutafuna rushwa toka kwa Abdul!!???
 

Abuid siyo KADA wa Chadema .... sema ana misimamo yake.
 
Abihudi anasema ukweli !! Abihudi ni Neuro scientist noma sana
 
Angeweka na ushahidi wake hapa tuuone, nachojua kwasasa serikali ya mama Abdul iko kwenye wakati mgumu hasa kule X ndio maana wameanza mipango ya kutaka kuifunga Tanzania.

Huyo kichaa likely atakuwa amepewa na hao kina Abdul kuyumbisha upepo wa Lissu kule Singida, na Mange from US, hizo ni mbinu zao outdated.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…