babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Ukitaka kumjua Pengo ni nani ndani ya nchi hii soma kitabu 'kanisa katoliki na siasa ya Tanzania'Nakwambia pengo akimshauri magu kwamba waache waandamane magu atayasikia......JK pamoja na ukijana wa mjini kuna kipindi kama alijaribu kutunishiana misuli na yeye ila wanaojua waliona jinsi jamaa alivyoomba poo
AbsolutelyBora mwanya kuliko pengo badala amshauri muumini wke ili ajisahishe n kukurupuka, kuropoka kila kukicha...viongozi wote wa dini ni manafiki wa kiwango cha juu anajitoa ufahamu kipindi hiki wakti wa utawala wa mkapa alikua anamkosoa sana.utawala huu amekaa kimya
Pengo anajielewa hawezi fanya hivyo, Kama ni kuzungumza ataongelea kupatikana kwa suluhu[/Q
Nakubaliana na wewe.Kwanza yeye hawezi kutoka na kutolea msimamo kwa Wakatoliki wote bila idhini ya Maaskofu wenzie.Kwa kuwa UKUTA si issue ya kitaifa kama kuna ulazima wa Kanisa kutoa maoni au maelekezo yeyote kazi hiyo itafanywa na Baraza la Maaskofu kupitia Raisi wake au idara zake zinazohusiana na mambo ya Haki na Amani.
Kwa hiyo yawezekana akaongelea suala hilo lakini haiwezi kuwa kwa muktadha wa Wakatoliki wote.Wakatoliki wako CCM pia na vyama vingine na wengine hawana vyama kabisa ikiwemo yeye mwenyewe na viongozi wengine waandamizi wa Kanisa Katoliki.
Na ikitokea kweli akaongelea suala la UKUTA itakuwa kwa nafasi yake kama Mtanzania na kwa hali hiyo hatoweza ku-address Wakatoliki wote Tanzania au Jimbo la Kuu la Dar Es Salaam.
Ufafanuzi mzuri.Kwa kanisa katoliki wanao weza toa tamko ni TEC na sio Pengo..... akiongea kama Pengo atatoa maoni yake ambayo sio msimamo wa kanisa katoliki... na najua hawez fanya hivo....
Ah ah ah hawa watu kaz wanayo...daima wao wanahisi wanaonewaAcheni Double standards Gwajima huwa mnamtetea mbona
We jamaa brain yako iko njema sanaPengo hayuko kwenye payroll
Pengo ni 'de facto power behind power'
Achana naye huyu anayejiita Mwanahabari "Huru". Hata sijui huo uhuru wake uko wapi wakati ni kibaraka wa Mbowe.Acheni Double standards Gwajima huwa mnamtetea mbona
Pengo anajielewa hawezi fanya hivyo, Kama ni kuzungumza ataongelea kupatikana kwa suluhu