Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Watakuja kupovuka hapa wafia dini kindakindaki.unawatetea walawiti wa watoto wadogo?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuja kupovuka hapa wafia dini kindakindaki.unawatetea walawiti wa watoto wadogo?
waje tu, nipo hapa nimejaa tele, eti kanisa moja takatifu la mitume.Watakuja kupovuka hapa wanalunyasi AKA;
View attachment 2774208
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hapo hakuna ubaguzi! Katika salamu kuna mtu unaweza kumsalimia kwa kumkumbatia na mwingine kwa kumshika mkono!KADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI
View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.
Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.
Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko😔 ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.
Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi 😭
Endalea na mila zako nani kakuzuya nenda kaabu mibuyu si hipo na mapango mtu akifa mfunge mchimbe shimo muigize humo mmkalishe kwenye kigoda na vibuyu via majiKADINALI MWEUSI ABAGULIWA WAZI WAZI
View attachment 2773929
Unajua haya mambo ya Wa Afrika kudandia dini za wazungu huwa yananikera Sana Sana, sisi WaAfrika tumepoteza identify yetu kwa kukimbilia mila,desturi na taratibu za wazungu na kukanyaga, kuzikana na kuzidharua Mila na desturi zetu.
Kwani Kabla ya wazungu na waarabu kuja sisi WaAfrika tulikuwa hatuabudu ? Ukweli ni kwamba tulikuwa tunaahudu na Mungu alitusikia, kila hitaji letu tulilipata kwa utaratibu wa ibada zetu.
Ujio wa wazungu na waarabu umeua Mila zetu, ni ujinga kuamini kuwa Sala zao ndio za kweli na Sala zetu ni matambiko[emoji17] ukienda Japan, china etc walikataa ujanja wa wazungu , wamebaki na Mila zao za ibada.
Laana ya kuacha Mila zetu itatugharimu Afrika, mabalaa yote ya Africa ni juu ya laana ya kukataa Mila zetu na kufata Mila za wazungu na waarabu. Ona Sasa hii aibu ya Kadinali mwafrika kubaguliwa waziwazi [emoji24]
We mara yako ya mwisho kupigwa busu na mwanaume ni lini?unawatetea walawiti wa watoto wadogo?
me nimeongelea kuhusu kuwatetea hao walawiti wa watoto wadogo,We mara yako ya mwisho kupigwa busu na mwanaume ni lini?
Umepotoka........Ukristo siyo dini.
Qur'an 3:19.Zote na uislam pia
19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19Umepotoka........
Kitu ambacho hujui uislam ulimegwa kutoka ukristo
Kitabu walipewaje tena si tulikubaliana kilishushwaQur'an 3:19.
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19
Wazungu warabu kote ni upuuzi tuUkristo siyo dini.
Rudi darasa la pili AEndalea na mila zako nani kakuzuya nenda kaabu mibuyu si hipo na mapango mtu akifa mfunge mchimbe shimo muigize humo mmkalishe kwenye kigoda na vibuyu via maji
Mwafrika angeshika dini asingekuwa alivyo angekuwa sawa na hao waliomletea dini, kimaendeleo na kifikraHayo madini ndio yamefanya waafrika tukawa watumwa wakifkra na kuishi kama mashetani.
Ona hii bibiUkristo siyo dini.