bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Wanafungwaje fikraWajinga watabisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafungwaje fikraWajinga watabisha
MKama ni kihistoria na kiutamaduni, basi Siyo tu kubusu mtu wa Jinsia moja bali hata kissing mwanamke hadharani si kati utamaduni wa kawaida au maarufu miongoni mwa tamaduni nyingi za kiafrika, South Sudan ni kawaida.
By the way, kama tamaduni ni hizi utaanzia wapi kupata idea au mizuka ya ku kiss
View attachment 2774071View attachment 2774072View attachment 2774073View attachment 2774074
Maskini! Wamejipamba au wameadhibiwa? Ujinga ni mzigo.Kama ni kihistoria na kiutamaduni, basi Siyo tu kubusu mtu wa Jinsia moja bali hata kissing mwanamke hadharani si kati utamaduni wa kawaida au maarufu miongoni mwa tamaduni nyingi za kiafrika, South Sudan ni kawaida.
By the way, kama tamaduni ni hizi utaanzia wapi kupata idea au mizuka ya ku kiss
View attachment 2774071View attachment 2774072View attachment 2774073View attachment 2774074
Uko sahihi mkuu!'Cha kwenu' kuamini kuwa kuzaa mapacha au walemavu ni laana na hivyo inabidi wauawe? Au kuamini viungo vya maalbino au ngozi ya upara kutoka kwenye kichwa cha mtu mwenye upara ni utajiri? Au ukimpiga mtu nondo na kuipeleka kwa mganga hiyo nondo utakuwa tajiri?
Kuna mambo tukiyaongea kiwepesi tutaishia kui mislead jamii.
Kwa sababu utamaduni wake umeheshimiwa.Kwanini hajàpewa salamu kama wenzake?
✅Waliabudu mizimu kwa maana shetani akichukua advantage ya wao kutokumjua Mungu akajifanya mungu kwao wakimtolea sadaka na kafara za damu.
Mababu zetu walituingiza kwenye maagano ya ibada zao ambayo ndio yameleta shida kuu za watu wa Sasa zikiwemo vifungo,laana na mikosi mbalimbali mfano umasikini, magonjwa,udumavu wa fikra,nk.
Dini za Sasa zimeleta ukombozi wa mwili na roho kwa maana watu Sasa wanamuabduu Mungu wa kweli.
Hatujaiga bali tumeletewa, ila kama nyie mnataka kujiondoa mjiondoe tu maana mimi sina huo mpango leo wala kesho.Hata kuandika na kuwasiliana kwa teknolojia tumeiga sijui tungefanyaje ila tuna nafasi ya kujiondoa
Ni imani potofu ya kuabudu Mzungu badala ya Mwenyezi Mungu.ni nini..?
Huo ndiyo ukweli.Dah we umeshindikana
Majini? Majini kabisa, yaani, mapepo? Labda unatania!Naam, hujakosea, watu na majinni wote wanatakiwa wawe Waislam.
✅Bila dini sidhani kama tungekuwa kama tulivyo, msione tumeishaelevuka hali ilikuwa mbaya sana na dini imesaidia sana katika kuweka ulimwengu sawa, elewa kuwa hizi serikali unazoziona duniani kote zimetokana na miongozo ya dini, serikali imekuwa ya kucopy na kupest.
Inawezekana kweli wakristo weusi tunaabudu wazungu kwa kiasi fulani. Lakini haijafikia kiasi ambacho waislamu weusi wanavyoabudu waarabu... Wamefanywa kuamini kuwa Alah husikia kiarabu tu.Ni imani potofu ya kuabudu Mzungu badala ya Mwenyezi Mungu.
✅Wasioenda shule kama wewe wamekalia eti ubaguzi, walioenda shule kama akina Obama wanakuwa marais wa hao wanaodaiwa wabaguzi, ukifeli darasani siku zote utajiona unabaguliwa.
Nice observation!Wazungu ni njia yao ya kusalimia.
Muafrika kampa mkono na huyo anayesalimia wenzake, ametumia muda mrefu kidogo kuzungumza na huyo black, huku wameshikana mikono.
Sioni ubaguzi wa aina yeyote. Acheni upotoshaji.
Waislam wa dunia nzima wanaabudu Allah pekee:Inawezekana kweli wakristo weusi tunaabudu wazungu kwa kiasi fulani. Lakini haijafikia kiasi ambacho waislamu weusi wanavyoabudu waarabu... Wamefanywa kuamini kuwa Alah husikia kiarabu tu.
Shetani ni nani na Mungu ni nani?Waliabudu mizimu kwa maana shetani akichukua advantage ya wao kutokumjua Mungu akajifanya mungu kwao wakimtolea sadaka na kafara za damu.
Kama ingekuwa ni hivyo, mbona baada ya kumjua Mungu huyoMababu zetu walituingiza kwenye maagano ya ibada zao ambayo ndio yameleta shida kuu za watu wa Sasa zikiwemo vifungo,laana na mikosi mbalimbali mfano umasikini, magonjwa,udumavu wa fikra,nk.
Mungu gani wa kweli, Aliyeshindwa kujidhihirisha kwa watu wote duniani kwa wakati mmoja?Dini za Sasa zimeleta ukombozi wa mwili na roho kwa maana watu Sasa wanamuabduu Mungu wa kweli.
Tatizo la waafrika badala ya kuamka, wao wanajifanya wameamka. Matokeo yakewanazidi kujichelewesha kwa kujidanganya na story nyingi za kujitungia.Hivi kweli, ukiacha vyakula, ni kipi kinatumika nchini kwa mahitaji ya kila siku ambacho hakijaletwa na wageni?
Hivi kulisha wahi kuwepo papa mwafrika?Wasioenda shule kama wewe wamekalia eti ubaguzi, walioenda shule kama akina Obama wanakuwa marais wa hao wanaodaiwa wabaguzi, ukifeli darasani siku zote utajiona unabaguliwa.
Nikupe video hapa black akisukumwa na waarabu wakati wa kubusu jiwe lenu jeusi[emoji16][emoji16][emoji16].Ukristo siyo dini.
Ukristo ulianza kabla ya UislamuUkristo siyo dini.