Kadogosa: Kwenye Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki, Rais Samia kawazidi Wajerumani

Kadogosa: Kwenye Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki, Rais Samia kawazidi Wajerumani

Huyu bila shaka ni CHADEMA maana ndio zilikuwa zao kabla havijapigwa marufuku.walikuwa wanakunywa bila kula chakula .ilikuwa mifuko yao inajaa hivyo viroba wanakunywa halafu ndio wanapanda jukwaani kuanza kuporomosha matusi kama vichaa au wendawazimu 😃😃😃😃.

cc Erythrocyte

Huyu bila shaka ni CHADEMA maana ndio zilikuwa zao kabla havijapigwa marufuku.walikuwa wanakunywa bila kula chakula .ilikuwa mifuko yao inajaa hivyo viroba wanakunywa halafu ndio wanapanda jukwaani kuanza kuporomosha matusi kama vichaa au wendawazimu 😃😃😃😃.

cc Erythrocyte
Na nyie CCM zenu ushoga tu
 

Attachments

  • tapatalk_1570946898001.jpeg
    tapatalk_1570946898001.jpeg
    45.3 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1591963091092.jpg
    FB_IMG_1591963091092.jpg
    70.2 KB · Views: 3
Kadogosa ni kati ya wakurugenzi wa mashirika wateule wa Magu ambao bado hajaguswa na "Mama" pamoja na sarakasi kibao hapo TRC.

Haya mapambio ni kule kutokujiamini tu.
Kama hapendwi hata apige vipi sarakasi, atasogezwa pembeni tu huko akawe hata RC au naibu katibu mkuu.
 
Huyu bila shaka ni CHADEMA maana ndio zilikuwa zao kabla havijapigwa marufuku.walikuwa wanakunywa bila kula chakula .ilikuwa mifuko yao inajaa hivyo viroba wanakunywa halafu ndio wanapanda jukwaani kuanza kuporomosha matusi kama vichaa au wendawazimu 😃😃😃😃.

cc Erythrocyte
umekuja kutetea legacy mama kamshinda mjerumani kutandika reli
 
Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania

Zaidi soma hapa:

"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.


View attachment 2944220View attachment 2944221
Hawa zero brain ni shida sana. Mdomo hauna mawasiliano na ubongo kwa hiyo mambo ni ropo ropo tu
 
ningekuwa karibu huyo na mwanahabari lingesikika neno "k@'ma m%%koooooo we "
kanifungurisha swahumu hapa nipo kwa mchepuko wa kitanga
 
Weekend yote mvua inanyesha jijini, leo Jumatatu hakuna maji! Hapa nilipo mabomba hayatoi hata tone la maji. Heko Lucas mwashambwa, kwa juhudi zako mjusi atajifungua nyoka!
 
Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania

Zaidi soma hapa:

"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.


View attachment 2944220View attachment 2944221
Kazi na uchawa, uchawa na kazi, uchawa kazini.
 
Idadi ya watanzania wanao kwenda kuacha akili chooni na kutoka na haja kubwa kichwani inazidi kuongezeka kwa kasi

Na Kadogosa inaonekana yeye ameiacha yote huko chooni. Afadhali baadhi huwa wanaiacha kiasi huko chooni na kuondoka na kiasi kidogo wanayokuja kuchanganya na hiyo haja kubwa ambayo wanatembea nayo.
 
Kwanza namshukuru Mama Samia kwaajili ya Kadogosa!

Tumshukuru sana Rais Samia kwa kuweza kutengeneza mapunguani wa kiwango cha juu Duniani ambao hawapatikani nchi yoyote.

Ebu fikiria hawa baadhi ambao viwango vyao vinang'ara kwenye rekodi ya Dunia:
Kadogosa
Mwashambwa
Variable
Ndumbaro
 
Pamoja na yote lakini kuna watu wakilisikia jina la Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, wanapata mhaho haooo....yaani wanahaha vibaya
 
Machawa yamejaa skuizi Bora yangekuwa mavijana tuu... kazi Yao ni kusiiifuu hovyohovyo kama huna akili nzuri alimradi unakula maokoto kupitia kodi za wananchi
 
Kwani wajerumani walijenga kwa mikopo ya kuunga unga?
 
Taarifa hii nzuri imetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Reli la Tanzania

Zaidi soma hapa:

"Kujenga reli ya kuunganisha nchi za Afrika Mashariki , Wajerumani hawakuweza na hawajazungumza sababu, akaja Mkapa lakini haikuwezekana lakini akaja Rais Samia" - Masanja Kadogosa, Mkurugenzi Mkuu TRC.


View attachment 2944220View attachment 2944221
Masanja anajifanya hajui Wajerumani walijenga reli 1906 wenyewe wakiwa watawala wa nchi yetu., sisi zaidi ya miaka 100 baadae bado hatuwezi kujenga reli tumelazimika kuita Waturuki na Wachina waje watusaidie. Aibu kwa ccm na serikali. Kwani kile chuo cha reli Tabora wanafundisha nini?

Si ajabu miaka 100 baadae labda 2106 tutaita tena watu wengine kama Wahindi waje watujengee reli.

Vile walituacha Wajerumani miaka 100 iliyopita tuko hivyo hivyo hakuna kilichobadilika zaidi ya kujua kuvaa suti na kujipaka mafuta/lotion
 
Back
Top Bottom