Kadogosa: Nauli ya Treni ya Mchongoko Dar - Dodoma itakuwa tsh 100,000 - 120,000

Hapana LATRA inadeal na usafiri wa nchi kavu tu yani both barabara na reli, EWURA ndio wanadeal na usafiri wa majini, zamani kipindi zimeungana ilikuwa inaitwa SUMATRA ila kwa sasa kila moja inajitegemea
Ewura ni energy and water utilities regulatory authority hii ni mambo ya petrol,gas nishati kwa ujumla na maji. Usafiri majini ni Tasac.
Sumatra ilivunjwa ikaundwa Latra na Tasac.
 
Kwahiyo tutalipia mchongoko siyo huduma ya usafiri!!
 
Unapata huduma ipi kwenye Royal business na business ya kawaida? Sijui wana massage ndani yake.
 
Wabongo hamna jema juzi LATRA walitangaza bei kwa daraja la kwaida mkafurahi sana
Leo hii wenye tren yao wametangaza bei kwa madaraja ya juu mnalalamika sasa kama mtu hamudu bei kubwa ya daraja la juu si unapanda daraja la kawaida pana cha kulalamika apo ?
 
Mlikuwa wapi kumwambia Jiwe? Si mlishangilia? Shangilieni na saizi
 
Hizi nauli za kupanga kwa ubutu na mchongoko badala ya gharama ya nishati na uendeshaji ni za uswahili, panga hivyo atakayeweza atapanda asiyeweza shauri yake.
 
Hapana LATRA inadeal na usafiri wa nchi kavu tu yani both barabara na reli, EWURA ndio wanadeal na usafiri wa majini, zamani kipindi zimeungana ilikuwa inaitwa SUMATRA ila kwa sasa kila moja inajitegemea
EWURA 😳😳

😂🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…