Mkuu mbona jamaa kaeleza vizuri sana?Umeme wa kuendeshea treni 336,000 ila nauli ya abiria mmoja 100,000-120,000
Kuna classes ukitaka ordinary lipa 31k mpaka Dodoma masaa manne,ukitaka Express VIP lipia 100k-120k mpaka Dodoma.
Chagua wewe unataka ipi.