Kafulila: Anayetaka kuwekeza TANESCO na aje,Tanzania inajengeka kwa Kasi mno mwaka 2050 tutahitaji zaidi ya Megawatt 60K wakati leo tuna Megawatt 4K

Safi sana ,Hiyo mipango unayoizungumzia Iko wapi, Unaweza kushare hapa?
CCM ndio CCM tu
 
Nakubaliana na Wewe
 
Safi sana ,Hiyo mipango unayoizungumzia Iko wapi, Unaweza kushare hapa?
CCM ndio CCM tu
Hivi mkoje?

Una quote post ambayo nimeweka link mbili kama msingi wa hoja zangu.

Links ambazo apparently ujazifungua, maana moja wapo ukifungua tu unakutana na muhtsari ufuatao.




Na hiyo report ☝️link husika ilikuwepo.

Ungefungua link ungeona TANESCO/Serikali imeelezea long term objective zao.

Una quote kitu ambacho mchangiaji kakupa info kujenga Halafu tena unaniuliza hiyo mipango waliyoweka hiko wapi.

🫣🫣🫣
 
Kumbe kafulila hapa alikuwa anadalilia kwa Adan, jamaa mshezi sana
 
Kwanini na wewe usiwe seeker?
 
Hizo mw elfu 4 zimewatoa kijasho sasa itakuwa hiyo 60.
 
Wewe huwa ni sifuri kabisa I know you CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…