John Paul The Second
JF-Expert Member
- Apr 27, 2024
- 298
- 343
Sasa Kila mtu ni chawa?!!Ila ndio chawa promax
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Kila mtu ni chawa?!!Ila ndio chawa promax
Wengine ni kunguniSasa Kila mtu ni chawa?!!
Duuuh, kweli ni RobotWengine ni kunguni
Uko sahihi, Kafulila ni asset kwa Taifa la Leo na KeshoKafulila kweli ni mwamba wa hoja tukubali tukatae ila Sifa ya Ziada ya Kafulila hana wizi wa mali za Umma
Ni sahihi Kafulila ni asset itunzwe tuUko sahihi, Kafulila ni asset kwa Taifa la Leo na Kesho
It's trueNi sahihi Kafulila ni asset itunzwe tu
Hongera Rais Samia===
Mhe David Kafulila Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchi PPP amewatoa hofu na mashaka Watanzania kwani Serikali yao ya awamu sita chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan ina nia na dhamira njema dhidi yao.
Kafulila akihojiwa Katika kipindi Cha Television amesema si kosa nchi kukopa kwaajili ya miradi ya maendeleo ila ni dhambi kukopa ili kugharamia mambo kama mishahara na mambo mengine yasiyo ya kimaendeleo yaani matumizi ya kawaida.
Kafulila ameenda mbali zaidi na kuwakumbusha namna Ulaya ilivyojengwa kwa misaada na mikopo toka Marekani ( Marshall Plan ) baada ya Vita kuu ya Pili ya Dunia miaka ya 1948.
Hata hivyo Mhe David Kafulila ameonesha si kweli kwamba Uchumi wa Tanzania unajengwa kwa Mikopo pekee ila ni Kwa sehemu tu,
Kafulila anasema, Tanzania kwa kipindi cha miaka mitatu imekopa fedha nje kiasi cha US$ 5 bilioni wakati Uchumi wake katika kipindi hicho umekua kwa kiasi cha US$ 20 bilioni sawa na tofauti chanya ya US$ 15 bilioni.
Mkurugenzi Mkuu huyo wa UBia amemsifu zaidi Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa jinsi alivyoipokea nchi na kwa kasi hii ya Uchumi ambayo hakuna nchi yoyote Africa Mashariki na Kati kwa miaka hii mitatu iliyofikia kiasi na kasi Kwa kiwango hiki kilichofikiwa na Tanzania ya Dkt Samia Suluhu.
=====
Kafulila anafafanua vizuri sana mipango ya Serikali aongeze juhudi zaidiHongera Rais Samia
Hongera Kafulila
Napenda jinsi Kafulila unavyofafanua mambo lakini napenda zaidi anapoitetea Serikali na Rais Samia,
||VIVA SAMIA VIVA,
||VIVA KAFULILA VIVA
Nakuunga mkono na miguuMarshal plan iliyojenga Ulaya Hali yao ya tekelinalokujia ilikuwa kama ya kwetu kwamba huo ubia utatutoa huko. Tulikuwa na KADCO, Alliance Air, Mkataba wa SA na ATC , RITES , Iptl, Richmond, nk je ilitutoa huko.
Nyerere alisema tuna hitaji watu sio wezi ndio tunaweza kutoka hapa tulipo.
Siasa Safi sio hii ya kuuuza uza vitu, ndio maana Leo hii wazaramo hawapo darisalam yao. Tabia ya kusaini mikataba ya hovyo hovyo haitatupeleka kokote, na Maendeleo sio maneno. Sasa hivi kuna hela zimelala kwenye JNHEP hazizalishi, SGR ya vipande vipande, TAZARA. Kuna vitu vya miradi vinatakiwa kufanywa na Tumebya Mipango au wachumi kama hatuna tume ya Mipango na na ikifikia kuweka mikataba iwekwe na wanasheria sio yeye au wanasiasa .
David Kafulila Kawa chawa promaxHongera Rais Samia
Hongera Kafulila
Napenda jinsi Kafulila unavyofafanua mambo lakini napenda zaidi anapoitetea Serikali na Rais Samia,
||VIVA SAMIA VIVA,
||VIVA KAFULILA VIVA
Same to you ni chawa tuDavid Kafulila Kawa chawa promax
Sitoki Kigoma kama Kafulila, Baba Levo na MwijakuSame to you ni chawa tu
Mbunge wetu Kafulila tulinya'nganywa tuKafulila kweli ni mwamba wa hoja tukubali tukatae ila Sifa ya Ziada ya Kafulila hana wizi wa mali za Umma
Kwahiyo machawa wote wa Jf wanatoka Kigoma?Sitoki Kigoma kama Kafulila, Baba Levo na Mwijaku
Huelewi nini?Kwahiyo machawa wote wa Jf wanatoka Kigoma?
Mbona Kila nakokwenda unanifuata?Huelewi nini?
Acha kuni-tagMbona Kila nakokwenda unanifuata?
Huna hoja aise ni kuchoshana tu wewe MkatolikiAcha kuni-tag