Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!

Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!

Mwache aendekeze uchawa umri nao unasonga mbele.
Huenda kuna wapambe wamemshauri kuwa Mama SSH ukimsifia mara kwa mara 'atakukumbuka'😀
Ndio maana hata akiwa RAS ata comment on politics 😂

Akiwa RC ata comment on politics

Akiwa hana nafasi yoyote ata comment politics.
Huyu ndio mwanasiasa David Kafulila
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
Tumezidi kufuatilia mambo ya watu
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
Alifika Simiyu ndani ya wiki1 akakuta kampuni ya kimataifa ya CHICCO imejenga Barabara ya 75bn lkn chini ya kiwango na inataka kukabidhi , akairudisha ianze upya. Mmesikia wapi kitu kama tena? Na kabla yake kulikuwa na RC😎

This man ni Patriotic kwelikweli
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
Aliwekeza kumfundisha Kishoa kuigiza saini za viongozi wa Chadema ili waingie bungeni.
Sasa na Kishoa ubunge una karibia mwisho
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
Kwani hii tweeter inatumia muda gani kuandika kiasi ambacho kutamfanya Kafulila asifanye kazi?
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!

Kafulila anaonesha rangi zake halisi
 
Kafulila ni inborn politician. Akiwa opposition na hata ccm. He is a political animal in nature. Mbunge+ RAS+ RC. hawezi kuacha kushiriki siasa kwasababu amezaliwa mwanasiasa.. na siasa sio maisha kwake bali platform ndio maana aliweza kuacha nafasi ya RAS kwenda kugombea ubunge akijua kabisa maslahi ya RAS ni makubwa na ya kudumu
View attachment 2419182

Kafulila wa Sasa sio yule wa zamani. Was Sasa ni mlamba miguu ya mfalme. Hawezi kuibua ufisadi wa serikali maana amejaa madlahi. Ndio maana namshauri arudi CHADEMA alikotokea kwenda CCM .
 
Back
Top Bottom