Kafulila: Ifikapo mwaka 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa kati ya TZS 12M na 20M pato la Taifa litafikia $700bn mara 9 zaidi ya leo

Kafulila: Ifikapo mwaka 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa kati ya TZS 12M na 20M pato la Taifa litafikia $700bn mara 9 zaidi ya leo

Sawa!
Je. (Net Present Value) , Thamani ya fedha hiyo ya wakati huo ujao itakuwa sawa na thamani ya shilingi ngapi kwa sasa?
Actual jibu huwezi pata ila projection utapata.

Pia Kwa kuwa Nguvu ya Uchumi wetu inaongezeka automatically Dolla itakuwa ndogo zaidi.

Mwisho hakuna sababu ya kutumia Dola kupima thamani ya pesa yetu Bali pesa yetu itakuwa na uwezo wa kununua vitu kiasi gani? Purchasing power parity ndio jambo la msingi.
 
Nabubujikwa na machozi ya furaha, mitano Tena kwa Mama!
 
Kuna kitu kinaitwa inflation, Mwaka 2050 hii elf 10 nyekundu itakuwa ya kununulia pipi

Mwaka 2000 nauli ya daladala ilikuwa shilingi 10, chipsi yai shilingi 100

Leo hii 2024 shilingi 100 utanunulia pipi mbili tu
Kwanza swala la mfumuko wa bei inategemea na sera za Nchi husika na usikariri.

Kwa miaka yote mfumuko wa bei wa Tanzania ni chini ya 5% ,hivyo basi hata baada ya miaka hiyo 25 Bado sera yetu itakuwa pegged not more than 6% kitu ambacho ni very affordable.

Mwisho inflation ndio stimulus ya bei na production so usikariri.
 
Hata kama kipato cha mtanzania kitakuwa kati ya milioni 12-20 ifikapo mwaka 2050, bado kinaweza kuonekana kuwa ni umaskini kwa wakati huo. Hii ni kwa sababu ya kupungua kwa dhamani ya pesa kutokana na mfumuko wa bei na gharama za maisha kupanda na mabadiliko mengine ya kiuchumi.
 
View attachment 3179123

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Mnatufanya mafala sana mln 12 kwa mwaka mbona ndogo sana tena 2050
 
Hata kama kipato cha mtanzania kitakuwa kati ya milioni 12-20 ifikapo mwaka 2050, bado kinaweza kuonekana kuwa ni umaskini kwa wakati huo. Hii ni kwa sababu ya kupungua kwa dhamani ya pesa kutokana na mfumuko wa bei na gharama za maisha kupanda na mabadiliko mengine ya kiuchumi.
Hapa anazungumziwa yule Mtanzania wa chini kabisa lazima uelewe ambae Leo kwa siku hata buku hakamati
 
View attachment 3179123

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Je, bidhaa na huduma zitabaki kuwa na bei ya leo?!!
 
Je, bidhaa na huduma zitabaki kuwa na bei ya leo?!!
Hapana lakini Kwakuwa mnyumbuliko wa Pato la kila mtu mmoja mmoja ni mkubwa na kuimarika kwa Shilingi ya Tanzania hiyo ni pesa nyingi sana tuzidishe tu kuomba uhai yajayo yanafurahisha
 
Back
Top Bottom