SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Dec 5, 2022 #221 Gangala said: Ni kwamba Tundu Lissu hajui anachotaka hasa ni nini hasa Click to expand... Wewe ndiyoo hujui anachotaka kwa vie level yako ya uelewa ni ya chini sana.
Gangala said: Ni kwamba Tundu Lissu hajui anachotaka hasa ni nini hasa Click to expand... Wewe ndiyoo hujui anachotaka kwa vie level yako ya uelewa ni ya chini sana.
Kinoamiguu JF-Expert Member Joined Nov 29, 2018 Posts 11,936 Reaction score 15,196 Dec 5, 2022 #222 ISRAEL JR said: Lissu huyu huwa simwelewi kabisa Click to expand... kama hujawahi kufundishwa na prof. huwezi kumwelewa
ISRAEL JR said: Lissu huyu huwa simwelewi kabisa Click to expand... kama hujawahi kufundishwa na prof. huwezi kumwelewa
G Gangala JF-Expert Member Joined Nov 6, 2022 Posts 699 Reaction score 701 Dec 5, 2022 #223 SAGAI GALGANO said: Wewe ndiyoo hujui anachotaka kwa vie level yako ya uelewa ni ya chini sana. Click to expand... Wew niambie Lissu falsafa yake nini mpaka sasa
SAGAI GALGANO said: Wewe ndiyoo hujui anachotaka kwa vie level yako ya uelewa ni ya chini sana. Click to expand... Wew niambie Lissu falsafa yake nini mpaka sasa
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Dec 5, 2022 #224 Gangala said: Wew niambie Lissu falsafa yake nini mpaka sasa Click to expand... Haitakuwa na maana yoyote kwa vile unamuangalia Lissu kutoka angle hasi.
Gangala said: Wew niambie Lissu falsafa yake nini mpaka sasa Click to expand... Haitakuwa na maana yoyote kwa vile unamuangalia Lissu kutoka angle hasi.
B Bombabomba JF-Expert Member Joined Dec 23, 2017 Posts 1,804 Reaction score 2,128 Dec 5, 2022 #225 ISRAEL JR said: Mbona mmetaka ziwafukuza akina Halima mmegonga Mwamba? Eti Mnataka Rais atoe maelekezo mahakamani hili halipo. Mahakama zetu ni huru sana. Click to expand... Upo kwenye kundi la waelewa au wasioelewa?
ISRAEL JR said: Mbona mmetaka ziwafukuza akina Halima mmegonga Mwamba? Eti Mnataka Rais atoe maelekezo mahakamani hili halipo. Mahakama zetu ni huru sana. Click to expand... Upo kwenye kundi la waelewa au wasioelewa?
B Bombabomba JF-Expert Member Joined Dec 23, 2017 Posts 1,804 Reaction score 2,128 Dec 5, 2022 #226 Naona siku za karibuni hasa wiki hii afsaba tumeongezeka sana. Na tunachangia kwelikweli bila ya kuufanya ubongo wetu ujitegemeee!
Naona siku za karibuni hasa wiki hii afsaba tumeongezeka sana. Na tunachangia kwelikweli bila ya kuufanya ubongo wetu ujitegemeee!