Kafulila: Milango iko wazi kwa mtu au kikundi kununua vichwa na mabehewa ya SGR kisha kuyaendesha kwa miundombinu ya serikali kwa sharti la ubia

David nadhan ana MKE Bora sana anayempa utulivu wa akiri ama ana MKE MSOMI na mtaalam wa BIASHARA au anasoma Sana. Asingekuwa MAFUPI Nadhani angeona mbali Sana kimaono....TUMPE MUDA.
Kwani ufupi unazuia maono?
 
Ngoja tuone kama itakuwa kama ninavyojua
 
Unauhakika na uñachokisema??!!
 
Usipumbazwe na ratings za kina moody..wakati serikali ndio mtoaji wa takwimu, ndie amelipia zoezi lote wanalofanya..ratings wanazofanya ni sawa na taarifa za kihasibu za fedha (financial statements) kwa makampuni..zinaweza zisikupe picha halisivile zinategemea takwimu ulizonazo..usidanganyike ndugu!
Hivi ubora wa nchi kiuchumi na maendeleo kwa ujumla unapimwa kwa kuangalia matatizo ya kiuchumi waliyonayo na kiwango cha madeni nchi inayodaiwa..?
Kwa hiyo Singapore raia wake wana vichwa viwili kila mmoja, au uspecial unaousema ni upi hasa..
Kama biashara ya Almas Botswana wanafanya vzr kuliko sisi huo uhakika wa mafanikio ya miradi ya PPP unaujenga kwenye msingi upi?
Hiyo miradi uliyotaja kwanza hakuna mahali popote inatajwa km flagship projects za PPP..nipe reference pse! lkn siyo vipaumbele kwa PPP.. Mwaka jana kulifanyika marekebisho ya sheria ya PPP sabb hata kanuni tu hazikuwepo..sijui hiyo miradi unataja ilikuwa inalindwa na kanuni zipi..
Hakuna sabb ya kufika mbali, the bottom line is...huwezi kufanya PPP pasina uhakika wa mradi unaofanya kuwa utafanikiwa, na hivyo ni muhimu kuwa na majaribio kwanza, ndio maana ya kusema Fanya kwanza huo mradi wa DART kabla ya kuingia kwenye miradi mingine..haraka ya nini? Huyo mbia aliyetajwa wa DART hata hajulikani lini anakuja, hata kipande tu cha karatasi ya makubaliano hakipo, mara unarukia SGR! Kwa hiyo siku hizi ufanisi unapimwa kwa kuorodhesha matarajio na mipango?
 
Nashauri,
Serikali awe ni mjengaji na msimamizi wa miundo mbinu uendeshaji waiachie sekta binafsi. Serikali ipate gawio la asilimia fulani kwa kila tiketi inayouzwa iwe ni mrabaha kwake kwa ajili ya monitoring and evaluation!
 
Naungana
Nashauri,
Serikali awe ni mjengaji na msimamizi wa miundo mbinu uendeshaji waiachie sekta binafsi. Serikali ipate gawio la asilimia fulani kwa kila tiketi inayouzwa iwe ni mrabaha kwake kwa ajili ya monitoring and evaluation!
Nashauri,
Serikali awe ni mjengaji na msimamizi wa miundo mbinu uendeshaji waiachie sekta binafsi. Serikali ipate gawio la asilimia fulani kwa kila tiketi inayouzwa iwe ni mrabaha kwake kwa ajili ya monitoring and evaluation!
Hoja nzuri sana hii
 
Wapi huko kasema?
Tumia akili unapojibu, soma na uelewe. Ukishaona neno kafulila hata kusoma vizuri hutaki, tumia akili, naamini hata kafulila hapendi nyie muwe kama marobots hivi

Kuna mtu nilikua nabishana nae kuhusu bakhressa kuwekeza reli ya Uganda, huyo jamaa hapo ndio kaja kuniambia nisibishe Jambo ambalo kafulila kasema, ndio nikamuuliza kwani afulila kasema bakhressa kawekeza reli ya uganda
 
Basi endelea na mada zako na watu wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…