CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
- #241
Ni sahihiSafi sana Kafulila tunataka wateule wanaofafanua mambo mazuri ya Rais wetu sio kurandaranda na v8 tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sahihiSafi sana Kafulila tunataka wateule wanaofafanua mambo mazuri ya Rais wetu sio kurandaranda na v8 tu
Hakika hakuna kama SamiaView attachment 2991403
Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi na kusoma Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!!
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter(X) Mkurugenzi wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
Kwaniaba yangu naomba kumpongeza sana Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina anayoitwa mara Chawa, mara kiroboto et Al.
View attachment 2991401
AmenKazi iendelee
Kasaliti nchi kwa lipi?Hivi huyu tumbili analipwa na nani kutuletea ujingaa na upumbavu kafulila tumbili ata kama umezaliwa familia masikini Huwezi kusaliti nchii kiasi hiki.jitafakali .
View attachment 2991403
Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi na kusoma Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!!
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter(X) Mkurugenzi wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
Kwaniaba yangu naomba kumpongeza sana Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina anayoitwa mara Chawa, mara kiroboto et Al.
View attachment 2991401
Mtaani kila mtu anamaisha yake kumbukaHongereni IMF. Sijui mnatumia vigezo gani, hivyo sina haja ya kupinga.
Kwako Kafulila...nchi haiendeshwi kwa takwimu peke yake. Je maisha yetu kama watanzania yakoje?
Ninapata sana mashaka na tunakokwenda
Mtaani kila mtu anamaisha yake kumbuka
Labda niingilie kukuuliza Unafanya namna kitu kinaitwa GDP na vile inapatikana?Ndio maana naulizia wanatumia vigezo gani? Kama takwimu zinachukuliwa uwanja wa ndege zinaweza kuwa tofauti na zile za mabasi kule kwa Magufuli
Am totally confused. A good student of Saint kayumba School is in troubleLabda niingilie kukuuliza Unafanya namna kitu kinaitwa GDP na vile inapatikana?
Asante kwa data ndugu kafulilaView attachment 2991403
Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi na kusoma Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!!
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter(X) Mkurugenzi wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
Kwaniaba yangu naomba kumpongeza sana Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina anayoitwa mara Chawa, mara kiroboto et Al.
View attachment 2991401
Tatizo Nini?Am totally confused. A good student of Saint kayumba School is in trouble
KabisaWenye chuki wajinyonge.
Hujioni wewe unavyoishi kwa raha? Saa hizi una smart phone, una pesa za kupata data na kazi huna.Hongereni IMF. Sijui mnatumia vigezo gani, hivyo sina haja ya kupinga.
Kwako Kafulila...nchi haiendeshwi kwa takwimu peke yake. Je maisha yetu kama watanzania yakoje?
Ninapata sana mashaka na tunakokwenda
Hujioni wewe unavyoishi kwa raha? Saa hizi una smart phone, una pesa za kupata data na kazi huna.
Gaza tena😂😂Smart phone ameniletea Rais? Inabidi uwahi Gaza kupambana na Israel
SawaHongereni IMF. Sijui mnatumia vigezo gani, hivyo sina haja ya kupinga.
Kwako Kafulila...nchi haiendeshwi kwa takwimu peke yake. Je maisha yetu kama watanzania yakoje?
Ninapata sana mashaka na tunakokwenda
Hakuna kama Samia naaminiView attachment 2991403
Habari JF,
Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi na kusoma Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!!
Hii ni bad luck kwao kwani wakati wote na popote namba daima huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo na uzushi hasa wa wale wasiolitakia mema Taifa hili ambao wako tayari hata kuiuza nchi kwa wazungu wanaowapa mabilioni na kuwalelea familia zao.
Chanzo cha taarifa hii ni kutoka Shirika la Fedha na Uchumi Duniani yaani IMF,
=========
Katika ukurasa wake wa twitter(X) Mkurugenzi wa PPP nchini Tanzania Bw David Zacharia Kafulila ameandika haya kwa ufupi,
Kwaniaba yangu naomba kumpongeza sana Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina anayoitwa mara Chawa, mara kiroboto et Al.
View attachment 2991401