Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

Tokea aondoke magu bei ya vitu imepaa balaa
Unga,mchele,mafuta,nauli hadi maharagr bei ipo juu
 
Wanasiasa malaya malaya kama Kafulila hawatufai.
 
Aliye muongo zaidi ndo hupewa teuzi
 
Ukuaji wa uchumi utafsiriwe na maendeleo ya watu, Si kama ilivyo sasa hali ya maisha ya Watanzania ni ngumu mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…