Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Anataka mama amuangalie kwa jicho la hurumaNaona anataka tuendelee kukopa ili nasi tuzifikie hizo nchi zilizotupita, na kwa spidi ya kukopa tunayoenda nayo asijali, lengo lake litafikiwa haraka, hizi teuzi zinatafutwa kwa shida sana.