Sacrifice7
Senior Member
- Jun 5, 2024
- 149
- 146
Ushauri mzuri ila wakijinga. Unataka watu waache kazi zao waanze kujadili kukopa wakati wahusika wapi. Akili za KIBAVICHA hiziMimi nashauri kabla ya kukopa uganyika mjadala kama huu,
Tuambiwe tunakopa kiasi gani ?
Tunakopa kwaajili ya nini?
Masharti ya huo mkopo yako?
Kilio Cha nini?Tayari Kilio kimeingia KKOO baada ya ujenzi wa Ubungo
Hawa CCM ni wezi na wapigaji hawaamiki.Nadhani hoja ibaki jinsi ya kuitumia Mikopo ila sio kukopa ni mbaya,
Hata Mimi natamani tukope hasa huko World Bank
Kila ushauri usiowapendeza mnasingizia BavichaUshauri mzuri ila wakijinga. Unataka watu waache kazi zao waanze kujadili kukopa wakati wahusika wapi. Akili za KIBAVICHA hizi
Truest the process brother nchi iko salama mno ever than beforeHawa CCM ni wezi na wapigaji hawaamiki.
Shida hamna jema lolote toka kwa SamiaKila ushauri usiowapendeza mnasingizia Bavicha
siwezi kujiunga na chama chochote kwani Tanzania chama ni kimoja tu na Mimi sikipendi mnoShida hamna jema lolote toka kwa Samia
Wewe kalia Propaganda.Truest the process brother nchi iko salama mno ever than before
Kuna mijitu inafanya utani na anguko la nchi, Siku mambo yakigoma hapa tutaanza kutafutanaWewe kalia Propaganda.
Nchi inaangukaje mjomba punguza pombe, Hujaona sisi tuko na 40% tu ya ulopaji wangine Wana mpka 97%?Kuna mijitu inafanya utani na anguko la nchi, Siku mambo yakigoma hapa tutaanza kutafutana
Hapana Mimi huwa napenda ukweli tuWewe kalia Propaganda.
View attachment 3011907
===
David Kafulila, Mkurugenzi PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya,
Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia nzima kwa sasa.
Kafulila anatufumbua macho kwamba nchi zote kubwa duniani tunazoziona zikimea zinajengwa kwa mikopo kwa wastani wa 97%
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$315trilion
Kwa lugha nyepesi,deni la serikali zote duniani limefikia US$ 97trilion sawa na 97% ya uchumi wa dunia,
Kafulila anasema deni lote la dunia kwa ujumla ni US$ 315 Trilioni zaidi ya 300% ya GDP ya dunia.
Vietnam ni nchi ya mfano duniani kwa muujiza wa kukuza uchumi ndani ya muda mfupi,
Mwaka 1990, uchumi wa Vietnam ulikuwa US$ 6.4bilion, mbele kidogo ya Tanzania iliyokuwa na US$ 4.5bilioni na nyuma ya Kenya iliyokuwa na US$ 8.4bilioni,
Lakini Leo miaka 30 baadae, uchumi wa Vietnam ni US$ 400bilion, karibu mara nne ya Kenya na mara tano ya Tanzania.
Hata hivyo, Mwaka 2007, wakati uchumi wa Vietnam ukiwa US$77bilion, sawa na Tanzania leo,
Mwaka huohuo wa 2007 uwiano wa deni kwa uchumi ulikuwa asilimia 43% karibu sawa na uwiano wa deni kwa uchumi wetu Tanzania.
Kukopa kujenga uchumi ndio njia na ndio Afya yenyewe ya nchi anasema David Kafulila.
View attachment 3011554
True!Kuna mijitu inafanya utani na anguko la nchi, Siku mambo yakigoma hapa tutaanza kutafutana
Mimi ni CHADEMA ila namkubali sana Kafulila Kwa hoja ila asipewe usemaji wa IKULU atua Upinzani wetuView attachment 3011907
===
David Kafulila, Mkurugenzi PPP TANZANIA katika ukurasa wake wa tweeter ( X ) amechambua haya,
Kafulila anasema, kukopa kwajili ya miradi ya maendeleo ndio njia sahihi na ndio mpango wa dunia nzima kwa sasa.
Kafulila anatufumbua macho kwamba nchi zote kubwa duniani tunazoziona zikimea zinajengwa kwa mikopo kwa wastani wa 97%
David anasema, wakati uchumi wa dunia umefikia US$ 105trilion, Deni lote la dunia ( serikali & private ) ni US$315trilion
Kwa lugha nyepesi,deni la serikali zote duniani limefikia US$ 97trilion sawa na 97% ya uchumi wa dunia,
Kafulila anasema deni lote la dunia kwa ujumla ni US$ 315 Trilioni zaidi ya 300% ya GDP ya dunia.
Vietnam ni nchi ya mfano duniani kwa muujiza wa kukuza uchumi ndani ya muda mfupi,
Mwaka 1990, uchumi wa Vietnam ulikuwa US$ 6.4bilion, mbele kidogo ya Tanzania iliyokuwa na US$ 4.5bilioni na nyuma ya Kenya iliyokuwa na US$ 8.4bilioni,
Lakini Leo miaka 30 baadae, uchumi wa Vietnam ni US$ 400bilion, karibu mara nne ya Kenya na mara tano ya Tanzania.
Hata hivyo, Mwaka 2007, wakati uchumi wa Vietnam ukiwa US$77bilion, sawa na Tanzania leo,
Mwaka huohuo wa 2007 uwiano wa deni kwa uchumi ulikuwa asilimia 43% karibu sawa na uwiano wa deni kwa uchumi wetu Tanzania.
Kukopa kujenga uchumi ndio njia na ndio Afya yenyewe ya nchi anasema David Kafulila.
View attachment 3011554
Wao Kila kitu kushadadiaTrue!
Huu Sasa umalayaMimi ni CHADEMA ila namkubali sana Kafulila Kwa hoja ila asipewe usemaji wa IKULU atua Upinzani wetu
Kama wa mke?Huu Sasa umalaya
Sijawahi kuwaza kuoa mimiKama wa mke?
Ndio maana hujui struggle za maishaSijawahi kuwaza kuoa mimi