Kagame awatuhumu SADC na Ramaphosa kuwaunga mkono Congo. Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama SADC ni Rais Samia!

Kagame awatuhumu SADC na Ramaphosa kuwaunga mkono Congo. Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama SADC ni Rais Samia!

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kagame kweli kajaa kiburi!

Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Wakuu wa EAC

Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.

Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.

Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.

Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)

Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.

Where is my JWTZ?

Screenshot_20250130_132031_Facebook.jpg
 
Kagame kweli kajaa kiburi!

Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!

Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.

Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.

Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.

Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)

Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.

Where is my JWTZ?
SADC na jumuiya zote za Afrika ni sawa na mbwa asiye na meno. Kwanza wanaogopa kuambiana ukweli na hakuna kitakachotokea.
 
Kagame kweli kajaa kiburi!

Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!

Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.

Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.

Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.

Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)

Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.

Where is my JWTZ?
Ma general Wana vitambi kama wamehifadhi vipolo tumboni kutwa kuimba mapambio, special forces ndio wale tunawaona wanavunja matofali na mbao unafikir watafanya Nini.
 
Kwenye hili hakuna kumwachia Mungu.

Amiri Jeshi Mkuu wetu anadharauliwa hivi alafu tukae kimya? Hapana

Baba yako anazarauliwa na kakubali mwenyewe unataka ufanye nini? Pengine hela ya matumizi hapo kwenu anatoa huko!
 
Kwenye hili hakuna kumwachia Mungu.

Amiri Jeshi Mkuu wetu anadharauliwa hivi alafu tukae kimya? Hapana
huyo amiri jeshi mwenyewe kumtumbua tu waziri kwenye serlikali yake hawezi ni mpaka waziri aharibu sana..utamsikia ohhoh nikimfukuza kazi familia yake itaishije eti huyo ndio ataweza kuamuru mapigano ya watu kufa kwenye mapambano thubutu.!
 
Kagame kweli kajaa kiburi!

Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!

Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.

Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.

Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.

Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)

Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.

Where is my JWTZ?
Ngoma ikilia sana jua inakaribia kupasuka hana maisha marefu. Anawaona mafala wana mlia timing na hataamini soon wana mla puru
 
Back
Top Bottom