Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenge hapo ulimaanisha babaako na mamaako au?Kagame anaijua Congo nje ndani kuliko kenge Yoyote yule
Kagame amefika mwisho wa uongozi wake na hata maisha yake ila hajui hilo na wengi pia hawajui hilo.Kagame kweli kajaa kiburi!
Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!
Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.
Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.
Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.
Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)
Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.
Where is my JWTZ?
Alitaka awaunge mkono kina nani?Kagame kweli kajaa kiburi!
Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!
Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.
Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.
Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.
Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)
Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.
Where is my JWTZ?
Ruto vs Samia 👇👇Kagame kweli kajaa kiburi!
Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!
Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.
Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.
Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.
Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)
Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.
Where is my JWTZ?
Hebu tulia kwanza halafu ongea vitu kamili Bado sijakwelewaKagame kweli kajaa kiburi!
Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!
Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.
Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.
Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.
Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)
Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.
Where is my JW
Vita na M23 itakuwa rahisi sana kwama wakiamua kutumia zana za kisasa, huwezi kwenda na mavifaru msituni, wanunue drone za kutosha wawapelekee moto ili vita iishe. kama wameshindwa, wamege tu lile eneo wawape watusi basi ili eastern congo ibaki na amani.Kagame kweli kajaa kiburi!
Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!
Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.
Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.
Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.
Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)
Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.
Where is my JWTZ?
Hicho cheo awamu nyingine wampe yule kijana wa BFKagame kweli kajaa kiburi!
Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!
Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.
Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.
Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.
Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)
Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.
Where is my JWTZ?
Acha dharau. Hiyo kuzungumza mambo usiyoyajua kuhusu jeshi kaa kimyaaMa general Wana vitambi kama wamehifadhi vipolo tumboni kutwa kuimba mapambio, special forces ndio wale tunawaona wanavunja matofali na mbao unafikir watafanya Nini.
Mgogoro wa Congo hauihusu Tanzania. wala sio jukumu ka Tanzania kuingilia migogoro ya nchi zingine.Kagame kweli kajaa kiburi!
Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!
Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.
Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.
Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.
Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)
Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.
Where is my JWTZ?
kwani akipigwa shaba ndio mgogoro mashariki mwa congo drc utaisha wajuba?90 yote anatafuta nini? anatikwa apigwe shaba mapema
Yes Kagame ni tatizo haswa hana tofauti na Putin, Putin kawachochea watu ERVs zimekatwa kumbe hachangii hata mia na alisema ataisaidia Africakwani akipigwa shaba ndio mgogoro mashariki mwa congo drc utaisha wajuba?
Hii sentensi ni kama ile ya "kwani Katiba ndiyo inayoleta chakula nyumbani kwako?"Amiri jeshi ndio anapigana vita?