Kagame awatuhumu SADC na Ramaphosa kuwaunga mkono Congo. Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama SADC ni Rais Samia!

Kagame awatuhumu SADC na Ramaphosa kuwaunga mkono Congo. Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama SADC ni Rais Samia!

Kagame kweli kajaa kiburi!

Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!

Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.

Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.

Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.

Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)

Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.

Where is my JWTZ?
JK kikwete alikuwa kanali wajeshi je bi tonzo alishawai pita hata jkt kwl?
 
Kagame kweli kajaa kiburi!

Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!

Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.

Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.

Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.

Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)

Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.

Where is my JWTZ?
Wezi wa Madini ya Congo 🇨🇩 wanatoshana nguvu 😳🙄 !
Gaza kumepoa kidogo sasa ni Goma !
Sisi tutajaribu kusuluhisha tu na si vinginevyo !
 
Naona Ajira za JW zijazo zitachukua vijana wengi zaid ata 8000 maana ukichekq na nyani utavuna mabua, tishekedii alijisahau anakuja kutangaza ajira za vijana kujiunga na jeshi kipindi mambo yasha mfika shingoni
 
Kagame kweli kajaa kiburi!

Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!

Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.

Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.

Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.

Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)

Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.

Where is my JWTZ?
KAGAME anaumwa condition inaitwa MEGALOMANIA (someone who has an unnaturally strong wish for power and control, or thinks that they are much more important and powerful than they really are) without treatment, ni changamoto ni kubwa sana, hasa ku destabilise majirani zake wote!!
 
Kagame kweli kajaa kiburi!

Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!

Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.

Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.

Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.

Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)

Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.

Where is my JWTZ?
Waziri wako wa ulinzi una mjua ni jinsia Gani?
 
Kagame kweli kajaa kiburi!

Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!

Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.

Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.

Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.

Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)

Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.

Where is my JWTZ?
JWTZ haiwezi kuwa imara chini ya amiri jeshi mkuu mwanamke wa kizanzibari
 
Kwenye hili hakuna kumwachia Mungu.

Amiri Jeshi Mkuu wetu anadharauliwa hivi alafu tukae kimya? Hapana
Mbona Lissu na Heche wanamdharau na kumfedhehesha Amiri Jeshi Mkuu wetu, ulitaka JWTZ ishughulike nao. Hiyo siyo kazi ya JWTZ na wala siyo kazi ya Amiri Jeshi Mkuu wetu.

Kazi ya JWTZ ni kulinda mipaka ya nchi yetu na kuhakikisha nchi yetu iko salama. Yanayotokea huko Rwanda, Congo na kwingineko si jukumu la jeshi letu.
 
Kagame kweli kajaa kiburi!

Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!

Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.

Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.

Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.

Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)

Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.

Where is my JWTZ?
Nawakumbuka hawa watabe enzi za Jk, sielewi kwanini JWTZ imekuwa hivi nasikitika sana pia nakumbuka operations za Comoro, Shelisheli na Bujumbura, JWTZ wakati huo nitaikumbuka Sana
 
Back
Top Bottom