Tumeshafanya operations Comoro, Shelisheli, Mozambique na Bujumbura izo nchi ni Tanzania..?Mbona Lissu na Heche wanamdharau na kumfedhehesha Amiri Jeshi Mkuu wetu, ulitaka JWTZ ishughulike nao. Hiyo siyo kazi ya JWTZ na wala siyo kazi ya Amiri Jeshi Mkuu wetu.
Kazi ya JWTZ ni kulinda mipaka ya nchi yetu na kuhakikisha nchi yetu iko salama. Yanayotokea huko Rwanda, Congo na kwingineko si jukumu la jeshi letu.
Huku akitapanya fedha hovyo, Kwa mitume na manabii uchwara+ kuongozana na wasanii muda wote
Ova
Ngoja tusubiri Mwenyekiti wa SADEC atasemajeKagame kweli kajaa kiburi!
Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Waandishi Habari!
Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.
Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.
Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.
Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)
Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.
Where is my JWTZ?
Imedhalauliwa SADC Mkuu, Msitake kuingilia Vita isiyo wahusuKwenye hili hakuna kumwachia Mungu.
Amiri Jeshi Mkuu wetu anadharauliwa hivi alafu tukae kimya? Hapana
Hujui kuwa sisi ni sehemu ya SADC?Imedhalauliwa SADC Mkuu, Msitake kuingilia Vita isiyo wahusu
Kama yy SAMIA hasikilizi matatizo yetu hayo mengine ndio atasikia.Kwenye hili hakuna kumwachia Mungu.
Amiri Jeshi Mkuu wetu anadharauliwa hivi alafu tukae kimya? Hapana
Kagame ameidharauje TzKwenye hili hakuna kumwachia Mungu.
Amiri Jeshi Mkuu wetu anadharauliwa hivi alafu tukae kimya? Hapana
Ungeku ni mgogoro wa ndani mazungumzo yangeleta suluhu, lkn kwa picha tu inaonekana hao M23 wapo hapo kwa external influence and support.Huwezi endesha siasa za mgawanyo wa watu katika sura ya kikabila na ukategemea matokeo chanya hii haiwezekani abadani.
Congo inapaswa kutumia njia ya mazungumzo katika kutatua mgogoro huu badala ya matumizi ya nguvu,maana kwa njia hii haija wahi leta suluhu kwa miongo kadhaa hapo kabla.
Hujui Rais Tanzania ni sehemu ya SADC? Hujui juzi tu baada ya Mkutano wa Nishati, Rais Samia aliitisha kikao cha SADC?Kagame ameidharauje Tz
Huyu si ndo Kagame alimzarau hadharani kabisa mpaka akaenda kujitetea bungeniJK kikwete alikuwa kanali wajeshi je bi tonzo alishawai pita hata jkt kwl?
SHujui Rais Tanzania ni sehemu ya SADC? Hujui juzi tu baada ya Mkutano wa Nishati, Rais Samia aliitisha kikao cha SADC?
Kwa kifupi Kagame ameshafikia hatua ya juu kabisa ya kiburi na kuwadharau Viongozi wenzake wote kwa maana saivi anajua hakuna wa kumfanya chochote kuhusu Congo!
Kagame kweli kajaa kiburi!
Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Wakuu wa EAC
Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.
Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.
Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.
Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)
Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.
Where is my JWTZ?
Una uhakika wa 100% kuwa ndani ya JWTZ hakuna Tutsi Spies? GENTAMYCINE nilipokuwa nikiwaonya Kutwa hapa JamiiForums kuwa Systems za nchini za Mombo na Mkunda kwa awamu ya Nne ziliharibiwa na kujazwa Wapumbavu, Wahuni na Walarushwa ambao hawakuwa na Uwezo wa Kiutendaji wa kuwa huko mkawa mnanidharau, kunishambulia na kunitukana.Kagame kweli kajaa kiburi!
Kwenye kurasa zake za Mitandao ya Kijamii amerusha Video akiongea kuhusu Mgogoro wa Congo jana kwenye kikao chake na Wakuu wa EAC
Kamgombeza kama mtoto mdogo Rais wa Afrika Kusini kuhusu majeshi yake yanavyoisaidia Congo.
Kawananga SADC ambayo mwenyekiti wa Kamati yake ya Siasa na Usalama ni Rais Samia kuhusu support wanayoitoa kwa Congo.
Ameongea kama yeye ndo mwenye Congo na hakuna wa kumfanya lolote lile.
Aisee acha niendelee kummiss Jakaya Kikwete. Acha niendelee kuwamiss Majenerali bora kabisa wa JWTZ ( Mwamunyange, Shimbo, Mella na Mwakibolwa)
Kiburi cha Kagame kimefikia kiwango cha juu kabisa na kutokana na ujinga wa hawa viongozi wa Afrika tulionao sasa nina uhakika anaenda kuimega rasmi Congo.
Where is my JWTZ?
Hawawezi kukosekana Kwa sababu Tanzania ni kokoloUna uhakika wa 100% kuwa ndani ya JWTZ hakuna Tutsi Spies? GENTAMYCINE nilipokuwa nikiwaonya Kutwa hapa JamiiForums kuwa Systems za nchini za Mombo na Mkunda kwa awamu ya Nne ziliharibiwa na kujazwa Wapumbavu, Wahuni na Walarushwa ambao hawakuwa na Uwezo wa Kiutendaji wa kuwa huko mkawa mnanidharau, kunishambulia na kunitukana.
Na nilisema kuwa Rwanda ya Kagame imepewa Kiburi kwa Udhaifu mkubwa wa Idara zenu hadi Kagame akawa anajua kila Kitu na kwamba kwa sasa anaweza hata kuichukua Dodoma au kuleta matatizo makubwa nchini bado Wapumbavu maeneo mbalimbali hawakunielewa ila nina uhakika sasa taratibu watanielewa na mnanielewa.
Na bado.....!!!!!!!
Jambo linatakiwa kufanyika sio kucheka na nyaniImedhalauliwa SADC Mkuu, Msitake kuingilia Vita isiyo wahusu
Wako wengi SanaHawawezi kukosekana Kwa sababu Tanzania ni kokolo
Hakuna Cha kuwapunguza ,Mtizamo wa Tanzania kwenye masuala ya Uraia ni kwamba hii ni Nchi ya Wahamiaji so inazoa chochote kama kokolo maana hatuna utambulosho wa Mtanzania ni nani.Wako wengi Sana
Ila hapo nyuma 2015 ilifanyika juhudi kuwapunguza ila Kwa sasa wameongezeka sababu ya uzembe