Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwaziri aliupata kupitia Ubunge wa BukobaAlikuwa waziri anayeitumikia nchi .....sio bukoba
Wewe akili zako zimefanana na Kagasheki hadi kusikiliza kero za wananchi mnaona wivuWewe na Bashite naona akili zenu zinafanana
naona kajiweka level fulani hivi ya baada ya rais ni yeyeNaunga mkono hoja, anachofanya hata Makamu wa Rais hawezi kufanya ni kama kuwashusha Mawaziri
Nakama Mwenezi amewashusha hivyo Mawaziri wa Serikali ya chama chake ni sawa na kutangaza hadharani kuwa CCM ina dhamana ya kuunda Serikali lakini imeshindwa na kuunda serikali mbovu isiyo wajibika kwa raia na inafaa kuondolewa.Naunga mkono hoja, anachofanya hata Makamu wa Rais hawezi kufanya ni kama kuwashusha Mawaziri
Who is Maza?Ina maana maza hakujua huyu mtu atafanya hivyo? Ni yeye kamtuma bila shaka..
Maza of ze neshenWho is Maza?
Naunga mkono hoja 100%Utaratibu wa kusikiliza kero zs wananchi haujaandikwa kwenye kitabu, ambacho ulimwenguni kote tunatakiwa kujifunza huko.
Kero za wananchi zinasikilixwa kwa namna mbalimbali kulingana na jiografia ya eneo husika, na desturi ya watu wa sehemu hiyo.
Sio lazima kwetu Tanganyika tujifunze namna wamarekani na wafaransa wanavyosikiliza kero za wananchi wao, hjko kutakuwa sawa na utumwa wa kifikra kwetu.
Kazi za Katibu Mwenezi wa CCM Taifa muda wote zimeanishwa kwenye Katiba ya CCM. Makonda ni mpenda sifa na anafanya kazi Utra vires ( Nje ya mamlaka aliyonayo)!Appointment without job description
Kimsingi ndo ameifanya Bukoba ichekwe hadi leo kwa miundombinu mibovu kwa ugomvi wake na Mayor huyo.Kagasheki hana lolote ni mmojawapo wa viongozi waliokuwa wabinafsi alichangia pakubwa kudumaza bukoba wakati wa Enzi yake yupo waziri na mbunge wa bukoba mjini hakuna lolote alilosaidia mkoa wa Kagera atulie tu muda wake umepita amwache bwana mdogo Makonda apige kazi.
Ndg. Kagasheki kwa nchi za ulimwengu wa tatu kama Tanzania na ambapo upinzani na Wabunge hawana meno, jitihada na style ya Makonda vyahitajika sana.
Naunga mkono hojaNakama mwenezi amawashusha hivyo mawaziri wa serikali ya chama chake ni sawa na kutangaza hadharani kuwa CCM ina dhamana ya kuunda serikali lakini imeshindwa na kuunda serikali mbovu isiyo wajibika kwa raia na inafaa kuondolewa.
Kazi hii anayoifanya Makonda aka Bashite ni ya faida sana kwa wapinzani wa CCM kuliko CCM wanavyodhani kuwa ni uenezi kwao.
Asante sana Mr Zero brain kwa kazi yako ya kutangaza kuwa CCM imechoka na inatakiwa kufanya overhaul kwa ujumla
Hata Rais anamdharau vilevile maana kutwa anamtaja Magunaona kajiweka level fulani hivi ya baada ya rais ni yeye