Na kweli ilikuwa tufunge karibu na half time Dilunga akakosa yeye na kipa.Distance ya goal la kwanza na lapili ni dakika 11
Dakika 11 zijazo linaingia la 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli ilikuwa tufunge karibu na half time Dilunga akakosa yeye na kipa.Distance ya goal la kwanza na lapili ni dakika 11
Dakika 11 zijazo linaingia la 3
Hahahaaaa simba inatupa burudani sanaMtu anapigwa katerero hapa ukweni
Hapana we tunakukabidhi kwa Luis atuachie mbegu ya kipaji cha soka biryaniShaul yake akinipa talaka nitaolewa na mo
Hahahah hamieni huku, naona jana kocha flani kajimix mbele ya mic anaropoka Simba wakati yupo kwenye mahojiano na wana wa matopeni [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Mo ana make tayari!Shaul yake akinipa talaka nitaolewa na mo
Jumamosi Gwambina anakula kichapo tunachukua usukani. J2 Azam anatoa droo na Yanga safari yao inaishia hapo
Ah siku ile mlimfumania Al ahly kwa upuuzi wa mosimane....wee bingwa wa Afrika alafu unaenda kupaki basi?Kiboko yao ni simba, ingekua ni sisi tungekua tusha wakamulia limao machoni
Wanigeria gani?Ah siku ile mlimfumania al ahly kwa upuuzi wa mosimane....wee bingwa wa africa alafu unaenda kupaki basi?
Wanaume walikuwa wanigeria...gozi la ng'ombe liliwekwa chini kitu kikapigwa.