Kagera 0-2 Simba | VPL | Kaitaba Stadium - April 21, 2021

Kagera 0-2 Simba | VPL | Kaitaba Stadium - April 21, 2021

Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Kaitaba

Simba wakianza kusukuma gozi la ng'ombe, huku Kagera Sugar wakifanya mabadiliko

Ametoka Abdallah Mfuko na ameingia Mwaterema.
 
Nilicheka sana inawezekana alikua haijui Yanga kabisa amekuja kuambiwa kua anaenda Yanga ameshafika pale Kidimbwi akawa hana namna .Ndo maana hana furaha
Hahahah hamieni huku, naona jana kocha flani kajimix mbele ya mic anaropoka Simba wakati yupo kwenye mahojiano na wana wa matopeni [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Kiboko yao ni simba, ingekua ni sisi tungekua tusha wakamulia limao machoni
Ah siku ile mlimfumania Al ahly kwa upuuzi wa mosimane....wee bingwa wa Afrika alafu unaenda kupaki basi?

Wanaume walikuwa wanigeria...gozi la ng'ombe liliwekwa chini kitu kikapigwa.
 
Reply
We hata hua haunipi rahiii nayoipata Simba aiseee
1619014420076.png
 
59' Mwaterema anaonyesha Kadi ya Njano baada ya kumfanyia madhambi Miquissone

Kagera Sugar 0-2 Simba SC
 
Back
Top Bottom