joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
Yuko sahihi hiyo ni kazi yake anayoipenda na ana haki ya kuibrand kwa namna anavyoona inafaa na anajua anachokifanya na ana akili kukushinda ndiyo maana alikwambia hana njaa kwa maana inaonekana ulitaka aache kazi yake awe chawa kama wewe hapo.Ahahahahahahaha Hawa watu aisee Wana sifa kama nn,Kuna mmoja Dodoma ni fundi nguo anajsifiq yeye Huwa anashonea nguo viongoz na wabunge ,kama ni mtu wa kawaida hawez Bei zake ,,na pili anasema Hana njaa ya ela .
Tutajie kwenu ili tukwambie usiyoyajuaAiseeh ulichoongea hapo ni 100% kweli tupu! Kuna ukabila na majungu kuliko mikoa ya tanzania yote huko.
Jamani wahaya wana majungu sijawahi ona! Dalala ni kilugha tuuuuuuuu..
Nimeishi huko toka mwaka 2015 - 2019 umeongea kweli tupu
100% nimeishi kule! kule ni kuzuri kwenda kupumzika ule ukijani na kamvua mvua na Kula sato wa foil..ukimaliza likizo unasepaKuhusu elimu upo sahihu sana, wahaya wamebakiza tu wajigambo kichwani hamna kitu na kuhusu majungu wanaume wa kihaya wapi bize kupiga umbea kuwazidi hata wake zao
Mkuu nimekaa na wahaya sijawahi ona kabila lenye Roho mbaya kama lile! Ila Dada zao tumewala kipindi hicho maana si wagumu maana kule uchumi ni mbovu pesa ni ngumu kule..sasa ukiwa mfanyakazi ndo uta enjoy sana.Tutajie kwenu ili tukwambie usiyoyajua
Mhaya umenuna baada ya kuambiwa ukweli ...pole sanaUkiingia sehemu za watu jitahidi sana upate uyaelewe maeneo kabla ya kukurupuka kuandika unachodhani ni sahihi kwa kila mtu.
Kwahiyo wewe ulitegemea tofali iuzwe shilingi ngapi kama saruji inauzwa 24,000? Hata elimu ya biashara huna achilia mbali kuifanya hiyo biashara. Pale kilimanjaro kuna kiwanda cha saruji na ipo karibu na tanga lakini tofali linauzwa hadi 1,800 wakati saruji ni 14,000 hadi 16,000 kutegemea na eneo sembuse huko? Kwahiyo kuwa jirani na geita, katoro au chato ni justification au sababu ya kuwafanya hao wauza tofali nao wauze kwa 1,000 au 1,200? Maskini wa fikra na akili wewe.
Unataka kuuza kwa 1,200 hata 1,000 anzisha project yako, tafuta wateja wauzie wala usisingizie watu. Kama bidhaa yako ina ubora watanunua kama haina huwezi pata wateja na ndiyo utakuja na haya uliyoandika hapa.
Kwanza unatakiwa kujua kwamba wao wanajenga sana tena sana kwa kutumia tofali za kuchoma na watu wanauza kwa 200, 300, 500 na 600 na wote wanauza tofali zao kwa wateja wao na huwezi sikia ulichokiandika hapa eti anzisha kiwanda uuze 1,200 wakuue. Kiazi mkubwa wewe.
Wewe sema bidhaa yako ilikataliwa kutokana na ubora hafifu na sasa unatafuta sababu ya kufichia aibu yako huku washindani wako wakipeta na kuuza tu bila shida yoyote.
Ulijiuliza au uliuliza ni kwanini majengo yao mengi yawe ya serikali au watu binafsi wanatumia sana tofali za kuchoma zinazouzwa kati ya 300, 500 au 600 ambazo zinahitaji saruji nyingi wakati wa kuzijengea?
Lipa madeni yako ili uache kuona watu wana roho mbaya.Mkuu nimekaa na wahaya sijawahi ona kabila lenye Roho mbaya kama lile! Ila Dada zao tumewala kipindi hicho maana si wagumu maana kule uchumi ni mbovu pesa ni ngumu kule..sasa ukiwa mfanyakazi ndo uta enjoy sana.
Ukweli kwenye nini kiazi wewe na inaonekana IQ yako na mleta thread iko level moja yaani ipo zero kabisa na ndiyo maana ameandika na katikakatika karudi kujipinga mwenyewe kwenye replies zakeMhaya umenuna baada ya kuambiwa ukweli ...pole sana
100% nimeishi kule! kule ni kuzuri kwenda kupumzika ule ukijani na kamvua mvua na Kula sato wa foil..ukimaliza likizo unasepa
Ulivyo kiazi utavutiwaje na kwenda kupumzika kwa watu wenye roho mbaya kama wewe huna utindio wa ubongo?Mkuu nimekaa na wahaya sijawahi ona kabila lenye Roho mbaya kama lile! Ila Dada zao tumewala kipindi hicho maana si wagumu maana kule uchumi ni mbovu pesa ni ngumu kule..sasa ukiwa mfanyakazi ndo uta enjoy sana
Oukkkkk..... Nilichokua nakitaka nimeikpata🤣🤣🤣🤣 hatimae umejipambanua mazima Kwa ujinga wako..... Na voice note zenu ninazo wapuuzi nyie mnadhani Kila anaeandika humu ni MUHAYA au katumwa na KUNDI Fulani la wanasiasa mnamdondoshea jumba bovu mbunge wenu kwamba ndo kaagiza BUKOBA ICHAFULIEWE 🤣🤣 HAMNA AKILI KABISAAA.... Yani niliposoma jibu lako la kwanza nilijua utajileta.Kilaza kama wewe ndiye anatumwa kuandika ujinga kama uliouandika
Unaona ulivyojinga na kiazi mbatata sasa kwahiyo mpaka hapo unafikiri kuna unachojua. Pole sana na nitakukanda mpaka ujue kwamba ukiandika ujinga utajua ujui na mpaka hapo umeendelea kudhihirisha ulivyo jinga na ndiyo maana nimekwambia wajinga kama wewe ndiyo wanatumwa maana IQ yako iko zero kabisa. Ukiona unahangaika kuwa na sijui voice notes za watu ujue ni udhihirisho tosha wa kutokuwa na akili kama wewe hapo. Wenye akili ndiyo watanielewa siyo wewe kiazi mbatataOukkkkk..... Nilichokua nakitaka nimeikpata🤣🤣🤣🤣 hatimae umejipambanua mazima Kwa ujinga wako..... Na voice note zenu ninazo wapuuzi nyie mnadhani Kila anaeandika humu ni MUHAYA au katumwa na KUNDI Fulani la wanasiasa mnamdondoshea jumba bovu mbunge wenu kwamba ndo kaagiza BUKOBA ICHAFULIEWE 🤣🤣 HAMNA AKILI KABISAAA.... Yani niliposoma jibu lako la kwanza nilijua utajileta.
Baada ya andiko hili KUNDI lenu nasikia likachafuka mavoice note ya kihaya kibao mmewaingiza na wasio husika Kwa unafiki na CHUKI zenu za KISIASA..... Nikwambie tu baada ya kusikia mnayojadili ndo nkajua hakuna MUHAYA mwenye akili. Waliotangulia kuwatusi hawajakosea.
Pia soma
Mkoa uliong'aa (THE SHINY BUKOBA) Leo hii Umekuwa Mkoa Mweusi (THE DARK BUKOBA) kwenye kila sekta ya Maendeleo;Nini Kimetokea kwa Nshomile Hawa
Nimesoma andiko la mtoa hoja mmoja kwamba kwa nini Wahaya festiva ifanyikie Dar es salaam na si Bukoba ili kuhamasisha ujenzi wa Barabara, Stendi na Soko, vitu vinavyotia aibu kubwa sana kimkoa. Lakini mimi kwa kuwa ni mdau wa mkoa huo, niliona tusijikite kwenye festival tu, tuangalie picha...www.jamiiforums.com
Povu lote la nini mjomba? Si urudi nyumbani urekebishe tabia mbovu za ndugu zako ...mkoa umedumaa hauna sababu ya watukama nyie msiotaka kuambiwa ukweliUkweli kwenye nini kiazi wewe na inaonekana IQ yako na mleta thread iko level moja yaani ipo zero kabisa na ndiyo maana ameandika na katikakatika karudi kujipinga mwenyewe kwenye replies zake
Lengo langu limetimia wapambanaji wanajua WAKIFIKA waanzie wapi kuishi na nyie bwana mengine haya ni by the way tu Mr. IQ merckme ila jifunze kuficha I'd Yako mana muandiko wako uko wazi sana BrotherUnaona ulivyojinga na kiazi mbatata sasa kwahiyo mpaka hapo unafikiri kuna unachojua. Pole sana na nitakukanda mpaka ujue kwamba ukiandika ujinga utajua ujui na mpaka hapo umeendelea kudhihirisha ulivyo jinga na ndiyo maana nimekwambia wajinga kama wewe ndiyo wanatumwa maana IQ yako iko zero kabisa
Ukweli utawaambia nduguzo kwa maana hujawahi kuona hao mnaohangaika nao kila siku wanakuja kuwashobokea kama mnavyowashobokea na mkiona mmekwama mnakimbilia kuwasema wana tabia mbovu. Nyo...koPovu lote la nini mjomba? Si urudi nyumbani urekebishe tabia mbovu za ndugu zako ...mkoa umedumaa hauna sababu ya watukama nyie msiotaka kuambiwa ukweli
Ukweli utakuweka huruUkweli utawaambia nduguzo kwa maana hujawahi kuona hao mnaohangaika nao kila siku wanakuja kuwashobokea kama mnavyowashobokea na mkiona mmekwama mnakimbilia kuwasema wana tabia mbovu. Nyo...ko
Povu lote la nini mjomba? Si urudi nyumbani urekebishe tabia mbovu za ndugu zako ...mkoa umedumaa hauna sababu ya watukama nyie msiotaka kuambiwa ukweli
Hii ni project ya ku-counter mkuu ipo Kwa KAZI MAALUMU hapa ila ndo hivyo Haina akiliUkweli utakuweka huru
Siku zote mtu mfa maji haachi kutapatapa kama unavyotapata hapa kuhusisha biashara za watu wenye akili zao na ujinga wako na ndiyo maana ulikuja hapa juzi kuandika kwamba Rio De Janeiro imejengwa kwenye chanzo cha maji usivyo na akili wewe na wenzako mnafikiri pale ni chanzo cha maji na kwanini hakukuwahi kufungwa tangu kukiwa Sky Motel kilaza wewe. Kalale maana huna unachojua na ndiyo maana unahangaika eti nifiche I'd yangu wakati ushauvaa mkenge bila kujua iko hivyo purposely kwa ajili ya wajinga kama weweMsivyo na akili nasikia aliyeandika andiko la club yenu pendwa kujengwa bila KUFUATA SHERIA mmemuhusisha na TANPOINT so mnataka mchaga aondoke hapo🙌🙌🙌
Lengo langu limetimia wapambanaji wanajua WAKIFIKA waanzie wapi kuishi na nyie bwana mengine haya ni by the way tu Mr. IQ merckme ila jifunze kuficha I'd Yako mana muandiko wako uko wazi sana Brother
Hata id umeshindwa kutofautisha maskini. Ngoja nikupuuze tu Kila la kheri kwakoSiku zote mtu mfa maji haachi kutapatapa kama unavyotapata hapa kuhusisha biashara za watu wenye akili zao na ujinga wako na ndiyo maana ulikuja hapa juzi kuandika kwamba Rio De Janeiro imejengwa kwenye chanzo cha maji usivyo na akili wewe na wenzako mnafikiri pale ni chanzo cha maji na kwanini hakukuwahi kufungwa tangu kukiwa Sky Motel kilaza wewe
Nimekwambia wewe ni kiazi mbatata na IQ yako ni zero. Kakojoe ulale kiazi weweHata id umeshindwa kutofautisha maskini. Ngoja nikupuuze tu Kila la kheri kwako