Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Huna unalojua kiazi wewe maana hata elimu uliyopata hapo Ihungo haijakusaidia kwa lolote na zaidi ni hujawahi kusoma hapo kwa maana wanaosoma hapo wana IQ kubwa ya utambuzi.

Eti "kwa upande wa maendeleo haitokuja itokee bukoba ipanuke kuliko ilivyo sasa" unajielewa kweli na ulichokiandika? Labda nikuulize maendeleo ni nini na ulitaka uone nini? Kwahiyo wewe ni miongoni mwa wanaoshiriki kudidimiza hilo ili liendelee kubaki kama miaka ya nyuma. Pole kiazi wewe.

Hilo jengo la ghorofa unaliliongelea unajua linamilikiwa na nani na kwanini lipo vile au unaropoka tu ukitaka kuonesha nawe unafahamu chochote?

Eti wana sala zao za kihaya, yes zipo na mpaka biblia ya kihaya ipo kwani ulitaka wawe na sala za kingoni, kimwera au kihadzabe wakati wana lugha yao. Acha husda lipa madeni yako ili uache kuona watu ni wabinafsi wakati huwezi kutaja hata kwenu ni wapi kilaza wewe.

Wenyewe wako busy na maisha yao lakini kina nyie ndiyo kila siku mnahangaika nao mkitegemea watajipendekeza kwenu kama mlivyozoea kwenye maeneo mengine.
Omba omba nyie hamna lolotee, wavivu wakubwaaa. Bukoba pabayaaaa. mnaishi milimani
 
Eti mwalimu mkoani. Kilaza wewe na acha kujionesha ulivyo mbumbumbu Hao watu ukienda na tabia zako mbovumbovu za kulewa wakati unapaswa kufundisha watoto lazima watakushughulikia. Eti wenyeji hawataki kurudi kufanya kazi kwao, aya twambie wewe kwenu ni wapi ili tukusaidie uhamie huko chap.

Badala ya kufanya kazi iliyokupeleka unabaki kutafuta sababu ya eti wenyeji hawataki kurudi kufanya kazi kwao. Kilaza mkubwa wewe, upo huru kufanya kazi sehemu yoyote Tanzania hii hivyo usitake kila mmoja afanane na wewe na ndiyo maana hao watu wanawaona hamnazo hasa nyie watoto mchele mchele
Mbona unakuwa mkali wewe ni wa huko nini
 
Omba omba nyie hamna lolotee, wavivu wakubwaaa. Bukoba pabayaaaa. mnaishi milimani
Sema wewe ndiye omba omba na ulienda kwao wakakuona hamnazo na unaandika hapa ili usijulikane kwamba ulienda kwao kuwa omba omba. Kwahiyo ulitaka waishi mabondeni kama vyura na mamba au mnavyoishi kwenu huko? Sema unapapenda sana na ndiyo maana unakomaa napo. Yaani wewe ni sawa na demu unayekukataa kumbe anakuhitaji. Sasa wewe ndiyo demu mwenyewe.
 
Ukiwa mgeni kama umefungua biashara hawaji kununua kwako na kama una bidhaa flani na haipo kwa wenyeji basi wataongea kirugha ili ikajumuliwe bidhaa na mwenyeji ili wajiungishe wao
 
Mbona unakuwa mkali wewe ni wa huko nini
Hata ningekuwa wa huko au siyo wa huko kuandika ujinga ujinga kuhusu sehemu usiyoijua ni upumbavu mkubwa sana na watoto mchele mchele ndiyo kawaida yao. Nimeishi kwenye maeneo kadhaa na hilo moja ya eneo ninalolifahamu hasa kutokana mimi nafanya biashara huko ya mazao ya uvuvi na projects za kilimo.
Nimemwambia ataje kwao nimpe yaliyopo amekimbia.
 
Sema wewe ndiye omba omba na ulienda kwao wakakuona hamnazo na unaandika hapa ili usijulikane kwamba ulienda kwao kuwa omba omba. Kwahiyo ulitaka waishi mabondeni kama vyura na mamba au mnavyoishi kwenu huko? Sema unapapenda sana na ndiyo maana unakomaa napo. Yaani wewe ni sawa na demu unayekukataa kumbe anakuhitajia. Sasa wewe ndiyo demu mwenyewe.
Umeishiwa contents,! Usihame kwenye topic, ukweli lazima usemwe bukoba mnaishi kwa kujuana Sanaa yaani ukabila mwingi. Nyumba karbia zote ni za urithi. Mnachoweza kujisifia ni hizo tu elimu zenu ambazo hazina faida yoyote kweny jamiii. Et PhD ya socialogy nayo ni ya kutamba mbele ya watu? Et wasomiii. Yaani sijui idd Amin alifeli vip kwenye Ile vita😂, ni Bora mngechukuliwa tu mkaishi Uganda huko maan tabia zenu haziendani kbsa na kabila lolote kabisa hapa Tanzania.
 
Hata ningekuwa wa huko au siyo wa huko kuandika ujinga ujinga kuhusu sehemu usiyoijua ni upumbavu mkubwa sana na watoto mchele mchele ndiyo kawaida yao. Nimeishi kwenye maeneo kadhaa na hilo moja ya eneo ninalolifahamu hasa kutokana mimi nafanya biashara huko na projects za kilimo
Hata ningekuwa wa huko au siyo wa huko kuandika ujinga ujinga kuhusu sehemu usiyoijua ni upumbavu mkubwa sana na watoto mchele mchele ndiyo kawaida yao. Nimeishi kwenye maeneo kadhaa na hilo moja ya eneo ninalolifahamu hasa kutokana mimi nafanya biashara huko ya mazao ya uvuvi na projects za kilimo.
Nimemwambia ataje kwao nimpe yaliyopo amekimbia.
Haya ugali ugali endelea kuwepo
 
Umeishiwa contents,! Usihame kwenye topic, ukweli lazima usemwe bukoba mnaishi kwa kujuana Sanaa yaani ukabila mwingi. Nyumba karbia zote ni za urithi. Mnachoweza kujisifia ni hizo tu elimu zenu ambazo hazina faida yoyote kweny jamiii. Et PhD ya socialogy nayo ni ya kutamba mbele ya watu? Et wasomiii. Yaani sijui idd Amin alifeli vip kwenye Ile vita😂, ni Bora mngechukuliwa tu mkaishi Uganda huko maan tabia zenu haziendani kbsa na kabila lolote kabisa hapa Tanzania.
Kiazi kama wewe ndiye unahama topic na kudhihirisha mlivyo vilaza wewe na mtoa thread. Sasa ulitaka warithi map........mbu kama wanavyofanya huko kwenu au? Acha warithi kwa maana ni jasho la vizazi vyao.

Ukiona PhD zao za sociology zinakunyima usingizi kajinyonge kwa maana unawaonea wivu sababu kwenye ukoo wako mzima hakuna mwenye nayo. Wao wanajua zina faida gani kwao kama wewe unavyoona faida ya elimu yako ya la saba.

Ukishaanza kuona unakosa usingizi kwasababu ya mtu fulani ambaye hana time na wewe hapo tambua wewe ni maamuma.

Ulitaka na wao wawe na tabia kama za kwenu za kuchunguliana makata ma....vi? Tunayo makabila zaidi ya 120 lakini kila siku ni makabila mawili tu yanawanyima usingizi la huko likiwa la kwanza na msivyo na aibu mtu anakuja na mada ya mkoa na mwishowe anaishia kuongelea kabila. Huyo ana akili kweli?
 
Lipa madeni yako ili uache kuona watu wana roho mbaya.

Nilifikiri una hoja kumbe unaongelea ngono kilaza wewe na mawazo yako yamelala kwenye ngono na ujue ulikuwa unakula visusio walivyosusa wenzako na wewe unajiona umekula.
Twambie kwenu ni wapi ili tukuonesha namna dada zako tunavyowala huku wewe ukikaa kujinasibu kwamba una pesa.
Kuwa na Lugha nzuri! wewe mtoto wa kihaya umejaa majungu tu! huwa mpo kama mademu demu! watoto wa kiume wambea kama mademu!

Yoyote aliye ishi kule hawezi pinga hili wanaume kule ni wana mambo ya kike kike!

Ndo maana hata jamaa kasema mna mambo ya kike kuwazidi hata dada zenu...
 
Kuwa na Lugha nzuri! wewr mtoto wa kihaya umejaaa majungu tu! huwa mpo kama mademu demu! watoto wa kiume wambea kama mademu
Kwasababu unashiriki nao kwenye umbea ina maana na wewe ni sehemu yao. Wenye majungu ni kama nyie na ndiyo maana spana zangu zimewahamisha mada na mnabaki mnaruka ruka kama popcorn.
 
Kwa mara ya kwanza nafika nilifurahia mazingira mazuri, ukijani mwingi na Hali ya hewa tulivu kabisaaa ikiambatana na mvua hasa nyakati za asubuhi. Baadhi ya Maeneo yana muonekano mzuri wa ziwa hivyo kufanya Mkoa huu kuwa kuwa na view nzuri hasa Kwa wageni.

Kwa kuwa ni mzee wa Fursa Cha kwanza nilichokiona ni UWAZI mkubwa maeneo nikajipa moyo kwamba ardhi ni sehemu ya kwanza ya kuwekeza kama ntabahatika kukaa Kwa muda mrefu.

LAauhala...... Siku mbili tu naanza kupata majuto makubwa na kuchukia Mkoa na watu wake. Twende Wote.

PICHA LINAANZA kutafuta nyumba ya kupanga nyumba zote nazopekekwa ni local vibaya mnooooo zenye ahueni bei haieleweki na ni chache vibaya sanaaa kimsingi kama una hela njoo wekeza kwenye majengo (ila sikushauri ntakwambia kwanini)

BIASHARA ndo kizungumkuti Ile costumer care tulioizoea Kagera (Bukoba) haipo hapa mchoma mahindi anaringa hata Moo hagusi. hakuna karibu hakuna ahsante, kauli nzuri Kwa mteja huku ni ndoto za mchana.

Mbaya zaidi wageni wote walojaribu kufanya BIASHARA wameshindwa kutokana na ukabila ulokubuhu wakija wataongea kihaya usijpojibu kesho usitegee atarudi... ukimuweka MUHAYA watachunguza kujua mwenye BIASHARA wakijua umeumia.

ARDHI.

Eneo kubwa lipo wazi likiwa na migomba hapa naongelea km 5-10 kutoka mjini katikati ila gusa unase kiwanja cha 20*20 Wahaya wanataka million 8 ukibahatisha utakutana na 5 MILIONI nunua kiwanja DODOMA ila sio hapa, hii inasababisha wageni kutonunua ardhi na wengi kununua mikoa ya Mwanza na Geita.. wahaya wanaachwa na ardhi Yao ikiwa na migomba na majivuno Wasijue miaka kadhaa ijayo huenda ikawa Mkoa duni kuliko popote TANZANIA.

UKUAJI WA MJI.

Kwa ujumla Ukuaji wa MJI naupa 5% hakuna ujenzi mpya kabisaa tofauti na ukiingia mikoa kama Mwanza, Geita, Dodoma, ambapo ukipita Kwa mara ya kwanza Tena barabarani tu unavutiwa na majengo mapya mazuri. tofali ya nchi.5 inauzwa 1500 huku bei ya cement ikiwa 24,000. KATORO GEITA na CHATO ambazo ni jirani kabisa tofali inauzwa 1000-1200 mfuko cement ukiwa inauzwa 24,000 pia. anzisha kiwanda sasa 😂 uuze 1200 wakuue.

MAISHA

Nimeshangaa ndizi za Bukoba kuuzwa 3 Kwa 1000 Kwa Baadhi ya Maeneo ya Bukoba MJINI ilihali Dar tunanunua mpaka 6 Kwa 1000. hapa hakuna soko la wakulima AMBAPO utapata vitu Kwa bei RAHISI nyanya tunapima Kwa kilo sio kama kwetu fungu Hadi la 300 lipo..

Maisha ni ya kati sio ghali sana Wala sio RAHISI sanaaa. mzunguko wa pesa ni mdogo Sanaa sanaaaa Kwa kifupi Pesa ni ngumu hapa Bukoba. usafiri ni boda Kwa kiasi kikubwa bajaji ni chache sanaaaa hivyo ukija ujipange kidogo. maeneo ya starehe YAPO kuanzia fukwe za ziwa Victoria, club yetu pendwa (RIO), bunena (my best) nk

MAJUNGU

Sijawahi kuishi sehemu kama hiii narudia SIJAWAHI, Kufuatiliana maisha huku ndo nyumbani, MAKUNDI ya WhatsApp ya MAENDELEO ya Mkoa yamejaa MAJUNGU, kusemana, unafki, ukabila na ubinafsi uliokithiri Kuna kamtu kanaitwa KIMODOI ndo Kigogo wao huku😂😂😂 ndo kanaendesha Mkoa kakisema Kila mtu Hadi Mkuu wa Mkoa anatetemeka kajamaa kanaishi MAREKANI so wadau ndo wanakaabudu kinoma kana MAJUNGU, kanafki, MAKUNDI badala ya kujadili Maendeleo kutwa kucha ni kusema watu voice note kama 1000 zote za MAJUNGU tu sasa usiombe Wahaya wakuchukie 😂😂 ebwanaaa eeeeee kama ni mtumishi maisha Yako yatakua ya shidaaa Kwa kifupi BUKOBA ni ya Wahaya Wageni wote hakuna anaetamani kuwepo hili eneo.

SIASA

😂😂 oya wakuu kama unataka kugomebea hata uenyekiti wa MTAA Na si mzawa huku sio kwako... mikutano ya hadhara ni ya kihaya wegeni tunaduwaa tu... Majungu na Kukwamisha Maendeleo Ili kumfelisha kiongozi Fulani ndo siasa za Kagera (BUKOBA)... mbunge wao BYABATO chamoto anakipata aseee jamaa miradi haetekelezeki Kwa sababu ya CHUKI na uBINAFSI...

Kiongozi mstaafu Yuko tayari kukwamisha mradi ila aliepo asifanikiwe. NI AIBU MAKUNDI yaliyopo Kagera hasa. BUKOBA niaibuuuuu viongozi WA Mkoa wakiongozwa FATMA MWASSA, mbunge NEEMA LUGANGIRA Ndo kabisaaaaa UKISIKIA VITA KISIASA NA FITNA NJOO BUKOBA na sijui CHADEMA Mnafeli wapi.

UTENDAJI WA VIONGOZI

Hapa naongelea Ngazi ya Mkoa mpaka Watendaji wa kijiji.. NGAZI ya Mkoa hakuna kitu Mama MWASSA anajua KUJINUFAISHA tu kupitia wafanyabiashara Kuandaa na kuhudhuria matamasha ya hovyo tu akiambatana na Chawa wake (Kuna naskia kijamaa kinaitwa Mtu Mfupi na KIGOGO wao Kimodoi natamani sana kuwaona hawa)... Mkuu wa Wilaya SIMA na WAKURUGENZI wake ndo kabisaaa miradi ya serikali inajiendeaaa tu Hakuna HATUA zozote zinazochukuliwa Kwa wazembe... ila nashindwa kuwalaumu mana Wahaya wenyewe ni sehemu ya kukwamisha Maendeleo Yao binafsi.

ELIMU

Kizazi Cha Prof TIBAIJUKA kikiisha Kagera itahitaji msaada wa serikali kuinuka Tena. ELIMU hapa ni duni mnoooo mnoooo... majivuno mengiiii ila uhalisia ni sifuri.

HITIMISHO.

Kagera (Bukoba,) sio ya wageni ni Moja ya sehemu za hovyo kuwahi kwenda nimeishi Tabora, Dodoma, Arusha, Tanga, Pwani, Moro, Dar, Mwanza, Shinyanga, Geita, Kilimanjaro na maeneo mengine nimepita ila huu MJI 🙌 hakuna mgeni anaetamani kuwepo hapa UKABILA, MAJUNGU, FITNA, UBINAFSI NA CHUKI vinawaangamiza Wahaya kimya kimya...

Huu ni Mkoa mkongwe sana ilaa MIAKA kadhaaa utakua Mkoa duni kuliko maelezo. BUKOBA ni MANISPAA inayodumazwa na tabia za Wenyeji na ni swala la muda hata Geita ilopewa MANISPAA juzi itaipiku ukiachilia mbali KAHAMA na MANISPAA zingine. inahitajika mabadiliko makubwa sana ya kifikra kuwakomboa Wahaya na Mkoa wao. mabadiliko haya yanahitajika pia kiutawala.

Mwisho RIO DE JENEIRO ni club nzuri mnoo na inapendezesha na kuchangamsha mji ila haiondoi ukweli kwamba sheria zimekiukwa.

WAHAYA SAMAHANINI ILA NI MUUKUBALI UKWELI AU MBAKI NA UKABILA WENU mi naondoka NIMEPACHOKA. KITUO KIFUATACHO BAADA YA MUDA MREFU NARUDI GEITA IKIWA MANISPAA
Kutokana na experience yangu binafsi pia nakubaliana na wewe 99 asilimia.
 

Kwasababu unashiriki nao kwenye umbea ina maana na wewe ni sehemu yao. Wenye majungu ni kama nyie na ndiyo maana spana zangu zimewahamisha mada na mnabaki mnaruka ruka kama popcorn
aiseeh haya bhana umeshinda mkuu! Yaishe!
 
At least wewe ulibaguliwa shule nyumbani ukawa treated vizuri, Mimi home shule kote walinitreat vibaya. Sijasema wabadilishe ili waniaccomodate hapana, lakini Sasa wakimtreat mtu vibaya wanafaidika na nini surely?Wacha wawe hivyo nilivyowaita. Because they treated me badly. Wewe unasema walikutreat vibaya , unashangaa Mimi kuwakasirikia, so uko happy with how they did to you? Kila mtu ashikilie la kwake Kwa kweli.

Mosimo sometimes tunaamua kuachana na maumivu yaliyopita ili tusiishi kwenye unyonge na maumivu kama vile wewe ambavyo bado ni victim pengine kwa vitu vilivyokutokea miaka hata 15 nyuma.

Kutreatiwa vibaya nyumbani na shuleni haimaanishi mkoa mzima wana roho hizo.. Naamini bado kuna watu walikupenda hata hapo shuleni lakini kwa sababu unataka kukumbuka ubaya pekee


Niamini, hata humu jf mimi ni nadra kutukanana na mtu ndio maana sijawahi kupigwa ban hata mara moja. Na si kwamba situkanwi au kuwa attacked sometimes lakini nimejifunza kupuuza na kusahau vitu vinavyoniumiza ili nisiumie.

Nakuelewa sana sana na sikuhukumu wala kulinganisha experience yako na yangu kwa sababu binadamu tumetofautiana uwezo wa kustahimili mambo..lla I wish usingeweka hizo conclusions lakini pia move on kwa ajili yako. Kama njia ya kujipenda, kujihurumia, kujijali na zaidi kujithamini didi ya kumbukumbu zinazokuumiza
 
Aiseeh ulichoongea hapo ni 100% kweli tupu! Kuna ukabila na majungu kuliko mikoa ya tanzania yote huko.

Jamani wahaya wana majungu sijawahi ona! Dalala ni kilugha tuuuuuuuu..

Nimeishi huko toka mwaka 2015 - 2019 umeongea kweli tupu
Kwahiyo watu kuongea lugha yao ni majungu,mbona unaakili kisoda kiasi hiki..hata wazungu wakiongea kilugha chao ni majungu?

Kwanini na wewe usiongee kilugha chako,acha ujinga.
 
Mosimo sometimes tunaamua kuachana na maumivu yaliyopita ili tusiishi kwenye unyonge na maumivu kama vile wewe ambavyo bado ni victim pengine kwa vitu vilivyokutokea miaka hata 15 nyuma.

Kutreatiwa vibaya nyumbani na shuleni haimaanishi mkoa mzima wana roho hizo.. Naamini bado kuna watu walikupenda hata hapo shuleni lakini kwa sababu unataka kukumbuka ubaya pekee


Niamini, hata humu jf mimi ni nadra kutukanana na mtu ndio maana sijawahi kupigwa ban hata mara moja. Na si kwamba situkanwi au kuwa attacked sometimes lakini nimejifunza kupuuza na kusahau vitu vinavyoniumiza ili nisiumie.

Nakuelewa sana sana na sikuhukumu wala kulinganisha experience yako na yangu kwa sababu binadamu tumetofautiana uwezo wa kustahimili mambo..lla I wish usingeweka hizo conclusions lakini pia move on kwa ajili yako. Kama njia ya kujipenda, kujihurumia, kujijali na zaidi kujithamini didi ya kumbukumbu zinazokuumiza
Thank you for your encouragement, I will move on my friend. 🙏
 
Kwahiyo watu kuongea lugha yao ni majungu,mbona unaakili kisoda kiasi hiki..hata wazungu wakiongea kilugha chao ni majungu?

Kwanini na wewe usiongee kilugha chako,acha ujinga.
unisamehe Mhaya japo ukweli mchungu! ila kule kwenu hapana kabisa sio sehemu salama kwa mgeni... mna majina yenu mmepachika mgeni sijui anaitwa "Mnyamahanga" kama sijakosea.
Mna ubaguzi sana mgeni akienda kule anaweza jiuliza hivi hii ni tanzania?

Mara mia mtu aende kuishi usukumani sio huko...! Kule mlichojaliwa ni hali ya hewa nzuri, ukijani ule na kula sato na sangara fresh.
 
Watu walio fanikiwa siku zote uchukiwa na watu wasio kuwa na mafanikio wahaya ni miongoni mwa jamii zilizo fanikiwa
 
Back
Top Bottom