Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Omba omba nyie hamna lolotee, wavivu wakubwaaa. Bukoba pabayaaaa. mnaishi milimani
 
Mbona unakuwa mkali wewe ni wa huko nini
 
Omba omba nyie hamna lolotee, wavivu wakubwaaa. Bukoba pabayaaaa. mnaishi milimani
Sema wewe ndiye omba omba na ulienda kwao wakakuona hamnazo na unaandika hapa ili usijulikane kwamba ulienda kwao kuwa omba omba. Kwahiyo ulitaka waishi mabondeni kama vyura na mamba au mnavyoishi kwenu huko? Sema unapapenda sana na ndiyo maana unakomaa napo. Yaani wewe ni sawa na demu unayekukataa kumbe anakuhitaji. Sasa wewe ndiyo demu mwenyewe.
 
Ukiwa mgeni kama umefungua biashara hawaji kununua kwako na kama una bidhaa flani na haipo kwa wenyeji basi wataongea kirugha ili ikajumuliwe bidhaa na mwenyeji ili wajiungishe wao
 
Mbona unakuwa mkali wewe ni wa huko nini
Hata ningekuwa wa huko au siyo wa huko kuandika ujinga ujinga kuhusu sehemu usiyoijua ni upumbavu mkubwa sana na watoto mchele mchele ndiyo kawaida yao. Nimeishi kwenye maeneo kadhaa na hilo moja ya eneo ninalolifahamu hasa kutokana mimi nafanya biashara huko ya mazao ya uvuvi na projects za kilimo.
Nimemwambia ataje kwao nimpe yaliyopo amekimbia.
 
Umeishiwa contents,! Usihame kwenye topic, ukweli lazima usemwe bukoba mnaishi kwa kujuana Sanaa yaani ukabila mwingi. Nyumba karbia zote ni za urithi. Mnachoweza kujisifia ni hizo tu elimu zenu ambazo hazina faida yoyote kweny jamiii. Et PhD ya socialogy nayo ni ya kutamba mbele ya watu? Et wasomiii. Yaani sijui idd Amin alifeli vip kwenye Ile vitaπŸ˜‚, ni Bora mngechukuliwa tu mkaishi Uganda huko maan tabia zenu haziendani kbsa na kabila lolote kabisa hapa Tanzania.
 
 
Kiazi kama wewe ndiye unahama topic na kudhihirisha mlivyo vilaza wewe na mtoa thread. Sasa ulitaka warithi map........mbu kama wanavyofanya huko kwenu au? Acha warithi kwa maana ni jasho la vizazi vyao.

Ukiona PhD zao za sociology zinakunyima usingizi kajinyonge kwa maana unawaonea wivu sababu kwenye ukoo wako mzima hakuna mwenye nayo. Wao wanajua zina faida gani kwao kama wewe unavyoona faida ya elimu yako ya la saba.

Ukishaanza kuona unakosa usingizi kwasababu ya mtu fulani ambaye hana time na wewe hapo tambua wewe ni maamuma.

Ulitaka na wao wawe na tabia kama za kwenu za kuchunguliana makata ma....vi? Tunayo makabila zaidi ya 120 lakini kila siku ni makabila mawili tu yanawanyima usingizi la huko likiwa la kwanza na msivyo na aibu mtu anakuja na mada ya mkoa na mwishowe anaishia kuongelea kabila. Huyo ana akili kweli?
 
Kuwa na Lugha nzuri! wewe mtoto wa kihaya umejaa majungu tu! huwa mpo kama mademu demu! watoto wa kiume wambea kama mademu!

Yoyote aliye ishi kule hawezi pinga hili wanaume kule ni wana mambo ya kike kike!

Ndo maana hata jamaa kasema mna mambo ya kike kuwazidi hata dada zenu...
 
Kuwa na Lugha nzuri! wewr mtoto wa kihaya umejaaa majungu tu! huwa mpo kama mademu demu! watoto wa kiume wambea kama mademu
Kwasababu unashiriki nao kwenye umbea ina maana na wewe ni sehemu yao. Wenye majungu ni kama nyie na ndiyo maana spana zangu zimewahamisha mada na mnabaki mnaruka ruka kama popcorn.
 
Kutokana na experience yangu binafsi pia nakubaliana na wewe 99 asilimia.
 

Kwasababu unashiriki nao kwenye umbea ina maana na wewe ni sehemu yao. Wenye majungu ni kama nyie na ndiyo maana spana zangu zimewahamisha mada na mnabaki mnaruka ruka kama popcorn
aiseeh haya bhana umeshinda mkuu! Yaishe!
 

Mosimo sometimes tunaamua kuachana na maumivu yaliyopita ili tusiishi kwenye unyonge na maumivu kama vile wewe ambavyo bado ni victim pengine kwa vitu vilivyokutokea miaka hata 15 nyuma.

Kutreatiwa vibaya nyumbani na shuleni haimaanishi mkoa mzima wana roho hizo.. Naamini bado kuna watu walikupenda hata hapo shuleni lakini kwa sababu unataka kukumbuka ubaya pekee


Niamini, hata humu jf mimi ni nadra kutukanana na mtu ndio maana sijawahi kupigwa ban hata mara moja. Na si kwamba situkanwi au kuwa attacked sometimes lakini nimejifunza kupuuza na kusahau vitu vinavyoniumiza ili nisiumie.

Nakuelewa sana sana na sikuhukumu wala kulinganisha experience yako na yangu kwa sababu binadamu tumetofautiana uwezo wa kustahimili mambo..lla I wish usingeweka hizo conclusions lakini pia move on kwa ajili yako. Kama njia ya kujipenda, kujihurumia, kujijali na zaidi kujithamini didi ya kumbukumbu zinazokuumiza
 
Aiseeh ulichoongea hapo ni 100% kweli tupu! Kuna ukabila na majungu kuliko mikoa ya tanzania yote huko.

Jamani wahaya wana majungu sijawahi ona! Dalala ni kilugha tuuuuuuuu..

Nimeishi huko toka mwaka 2015 - 2019 umeongea kweli tupu
Kwahiyo watu kuongea lugha yao ni majungu,mbona unaakili kisoda kiasi hiki..hata wazungu wakiongea kilugha chao ni majungu?

Kwanini na wewe usiongee kilugha chako,acha ujinga.
 
Thank you for your encouragement, I will move on my friend. πŸ™
 
Kwahiyo watu kuongea lugha yao ni majungu,mbona unaakili kisoda kiasi hiki..hata wazungu wakiongea kilugha chao ni majungu?

Kwanini na wewe usiongee kilugha chako,acha ujinga.
unisamehe Mhaya japo ukweli mchungu! ila kule kwenu hapana kabisa sio sehemu salama kwa mgeni... mna majina yenu mmepachika mgeni sijui anaitwa "Mnyamahanga" kama sijakosea.
Mna ubaguzi sana mgeni akienda kule anaweza jiuliza hivi hii ni tanzania?

Mara mia mtu aende kuishi usukumani sio huko...! Kule mlichojaliwa ni hali ya hewa nzuri, ukijani ule na kula sato na sangara fresh.
 
Watu walio fanikiwa siku zote uchukiwa na watu wasio kuwa na mafanikio wahaya ni miongoni mwa jamii zilizo fanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…