Kagera kuna hali ya hatari, kumezuka ugonjwa wa kutokwa damu puani na mdomoni. Watu 5 wafariki dunia 2 wako hospitali. Serikali ichukue hatua haraka

Nikifikiria nilirudishwa hospitali sikutibiwa kisa bima yangu imefungiwa sikua nime-renew sipati picha ningekua na uogonjwa wa kufa kunoga sasa hivi ningekua chakula cha mchwa
 
 
Hivi ndivyo serikali inavyotakiwa kufanya kazi.

Siyo serikali ya bwana yule.
HUJUI UNACHOKISEMA EWE KIRANGA.

NA KAMA UNAKIJUA, BASI UNAFANYA KAZI KWENYE KARAKANA YA WATU USIOWAELEWA VIZURI.

POLE SANA EWE KIRANGA.
 
Huu mzigo ni Ebola aisee.......
MATAPELI MMEANZA KAZI

BAADA YA SONGI LA USHOGA KUBUMBA MMEKUJA NA KITU INGINE YA KUTETEMESHA [emoji2][emoji2][emoji2]

YAANI NI BAMPA TU BAMPA, WAACHENI WATANZANIA WAPUMUE KIDOGO.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…