Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,656
- 2,483
Na Mwalimu angechelewa, labda angemalizwa yeye...tungekuwa tunasema story nyingine saa hizi hapa...Mwalimu wa Shule ya Msingi...
Mwanafunzi ni kidato cha tatu...
Huenda Mwalimu alikuwa anajua anapigana na Mwizi, na hakumtambua Mwizi kama ni mwanafunzi wake.
Hata mahakamani itathibitishiwa na mtu aliyemwonaMwizi anathibitishwa na Mahakama baada ya kupitia vivid evidence zote,
Hata kumwita Mwizi tu ni kosa coz bado haijathibitishwa na Mahakama kua amekua convicted,
Huyo ni mtuhumiwa,Suspect.
ππUmenikumbusha maneno ya kiongozi fulani asiyejali wananchi wake
Hiyo "sentenso" ina sauti ya mtu fulani.Kifo ni kifo tu
πMimi sijasema mkuu.Hiyo "sentenso" ina sauti ya mtu fulani.
Heri yako wewe haujasema.ππMimi sijasema mkuu.
Kifo ni kifo tu mkuuHeri yako wewe haujasema.π
Wewe umekufa mara ngapi tangu uzaliwe?πππKifo ni kifo tu mkuu
Kifo ni kifo tu mkuuππWewe umekufa mara ngapi tangu uzaliwe?πππ
Sentensi nyingine miyeyusho sana.πππKifo ni kifo tu mkuuππ
Mwizi anathibitishwa na mahakama baada ya kupewa ushahidi na hao wanaomwona kuwa ni mwizi..!!Mwizi anathibitishwa na Mahakama baada ya kupitia vivid evidence zote,
Hata kumwita Mwizi tu ni kosa coz bado haijathibitishwa na Mahakama kua amekua convicted,
Huyo ni mtuhumiwa,Suspect.
Maelezo yanasema "mwanafunzi alikua anajaribu kukimbia".Na Mwalimu angechelewa, labda angemalizwa yeye...tungekuwa tunasema story nyingine saa hizi hapa...
Kuna somo hao walimu hufundishwa wakiwa mwaka wapili.Mwalimu wa Shule ya Msingi Igurwa, Adrian Tinchwa (36) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua Phares Buberwa mwananfunzi wa kidato cha tatu Shule ya Sekondari Igurwa
Inadaiwa Mwalimu Adrian alifika nyumbani kwake na kukuta kufuli la mlango wa nyumba yake limevunjwa
Alipoingia ndani alikutana na Mwanafunzi Phares akijaribu kukimbia kisha kumkamata na kumshambulia kwa kumpiga ngumi pamoja na nondo
Phares alipelekwa nyumbani kwao na baadae kupelekwa Kituo cha Afya cha Rwambaizi kwa ajili ya matibabu ambapo alipofariki dunia
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, Blasius Chatanda tukio hilo lilitokea Septemba 18, 2024 katika kijiji cha Kanoni Wilaya ya Karagwe saa 8:00 mchana
Kamanda Blasius amedai chanzo cha tukio hilo ni mtuhumiwa kujichukulia sheria mkononi na kutoa adhabu iliyopitiliza kwa marehemu hadi kufikia hatua ya kukimbizwa kituo cha afya kwa ajili ya matibabu