Kagera: Mwalimu ampiga mpaka kuua mwanafunzi wa kidato cha tatu aliyevunja mlango wa nyumba yake ili kuiba simu

Kwenye hili nasimama na ticha, kuna baadhi ya wanafunzi balehe inawapeleka puta, kitendo cha kuvunja kofuli ni wazi alikuwa mjeuri huyo kijana
 
Pole zake kama hakugawa mitaa, ataishi kwenye majengo ya serikali yenye ulinzi mkali kwa miaka yake takribani yote
 
Kwahio in other words Mwalimu alimpiga Mwizi aliyevunja mlango wake ?

Unajua ukiweka Mwalimu kampiga mwanafunzi hadi kumuua inapunguza / inaongeza uzito fulani.....

A lie of Omission is still a Lie....
 
Mwizi anathibitishwa na Mahakama baada ya kupitia vivid evidence zote,
Hata kumwita Mwizi tu ni kosa coz bado haijathibitishwa na Mahakama kua amekua convicted,
Huyo ni mtuhumiwa,Suspect.
Mwizi anathibitishwa na mahakama baada ya kupewa ushahidi na hao wanaomwona kuwa ni mwizi..!!
 
Na Mwalimu angechelewa, labda angemalizwa yeye...tungekuwa tunasema story nyingine saa hizi hapa...
Maelezo yanasema "mwanafunzi alikua anajaribu kukimbia".
Labda kama useme "mwanafunzi alikua anajaribu kumshambulia mwalimu" tungeongea mengine.
Pia inaonekana kijana ni mdokozi tu sio yule mwizi wa kusema ni tishio kiusalama wa uhai ndio maana mwalimu kaweza kumdhibiti na kumtwanga.
Angekua amekubuhu kama vitoto vya Tandale au Manzese si tungekua tunaongea mengine hapa!?
 
Kuna somo hao walimu hufundishwa wakiwa mwaka wapili.

MEASUREMENTS & EVALUATIONS ni muhimu Sanaa otherwise ndio maana yametokea ya kutokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…