Kagera: Rais Magufuli kuzindua Shule ya Sekondari Ihungo iliyokarabatiwa kwa Tshs Billioni 10.9

Kagera: Rais Magufuli kuzindua Shule ya Sekondari Ihungo iliyokarabatiwa kwa Tshs Billioni 10.9

Usilinganishe hostel na shule mkuu? hahahahaaaaaa, kwenye hostel kuna maabara? kwenye histori kuna vitabu? Kwenye hostel kuna maktaba? Mkuu tuwe serious basi. Kwenye hostel si kuna ni frem za vyumba tu au.
Samahani ndugu naomba kuuliza kwa mtazamo wako hayo majengo kweli yanaweza gharimu bilioni 10 kweli? B10 ndefu sana asee
 
Asanteni sana Waingereza kwa support kuijenga upya Ihungo SS, kufuatia janga la tetemeko Kagera.Natamani serikali iseme kweli ilitoa fungu gani kusaidia wahanga toka bajeti ya serikali, mbali ua michango wahisani nwa Watanzania binafsi.
 
Huko KILIMANJARO shule Kama hizo Ni nyingi Kama uyoga
1669868366.jpeg
455557202.jpeg
2038999097.jpeg
 
JAMANI HAPO SIO #CHATO, NI BUKOBA...NI YONA

Mambo hayo Dkt. Magufuli tutamkumbuka Sana uongozi unaoacha Alama kubwa, hatari kiukweli anastahiri pongezi kubwa mnooo.

Muonekano wa Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo iliyoko mjini Bukoba inayotarajiwa kuzinduliwa na Rais Dkt. Magufuli tarehe 18 Januari, 2020.

Shule hiyo imefanyiwa ukarabati uliogharimu shilingi Bilioni 10.9 baada ya kuharibika kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea mjini Bukoba tarehe 10 Septemba, 2016.

View attachment 1679952

View attachment 1679953

View attachment 1679954

View attachment 1679955

View attachment 1679956
Meko aifanye iwe chuo
 
Kadema(RIP) walikuwa wanataka maendeleo ya watu!
 
Huu sio ukarabati wamejenga upya hapakuwa hivi...

Wale wa meru
Meru mie mwenzako kaka nyuma ya uruguru kupitia chamber Yangu ya underground .kweli haijakarabatiwa imejengwa maana sioni structure hata moja ya zamani .mastery for service imerudi
 
Kuna watu hawapendi kabisa kuona kitu Kama hiki, wangefurahi sana wangeona wanafunzi wanakaa chini hapo ili wapate cha kuisema serikali Ila kwa shule hilo hakika Kuna watu wameumia sana.
Swali hapa hiyo b 10
Je ni sahihi imetumika?

Ova
 
Back
Top Bottom