Samahani ndugu naomba kuuliza kwa mtazamo wako hayo majengo kweli yanaweza gharimu bilioni 10 kweli? B10 ndefu sana aseeUsilinganishe hostel na shule mkuu? hahahahaaaaaa, kwenye hostel kuna maabara? kwenye histori kuna vitabu? Kwenye hostel kuna maktaba? Mkuu tuwe serious basi. Kwenye hostel si kuna ni frem za vyumba tu au.
Mimi pia nimeuliza anaijua vzr b10 lakini?Kaka bilioni 10 zisikie tu hivi. Hata kungekuwa na maktaba gani au maabara ya aina gani (hasa kwa shule ya sekondari) tena marekebisho, hizo hela nyingi sana.
Hehehhehe Umeona njia ya muongo fupi sanaBilion 10 si zilijenga JPM hostel? Sasa iweje hayo mabanda yatumie tena 10bn ukarabati?
CongratulationsNimeshiriki kujenga hii shule
Usiwasahau Waingereza ( mabeberu wasiotutakia mema MATAGA voice) waliotukimbilia kuijenga upya shule kufuatia tetemeko.Kazi nzuri sana ya serikali ya awamu ya tank,ccm idumu.daima
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Meko aifanye iwe chuoJAMANI HAPO SIO #CHATO, NI BUKOBA...NI YONA
Mambo hayo Dkt. Magufuli tutamkumbuka Sana uongozi unaoacha Alama kubwa, hatari kiukweli anastahiri pongezi kubwa mnooo.
Muonekano wa Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo iliyoko mjini Bukoba inayotarajiwa kuzinduliwa na Rais Dkt. Magufuli tarehe 18 Januari, 2020.
Shule hiyo imefanyiwa ukarabati uliogharimu shilingi Bilioni 10.9 baada ya kuharibika kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea mjini Bukoba tarehe 10 Septemba, 2016.
View attachment 1679952
View attachment 1679953
View attachment 1679954
View attachment 1679955
View attachment 1679956
Meru mie mwenzako kaka nyuma ya uruguru kupitia chamber Yangu ya underground .kweli haijakarabatiwa imejengwa maana sioni structure hata moja ya zamani .mastery for service imerudiHuu sio ukarabati wamejenga upya hapakuwa hivi...
Wale wa meru
mkuu hizo ni private watu wamewekeza ili kupata faida hapo. Na hapo huendi bila mamilioni making Ihungo ni bweleleHuko KILIMANJARO shule Kama hizo Ni nyingi Kama uyogaView attachment 1680008View attachment 1680011View attachment 1680013
Ubora labda umezidi hizo hostelBilion 10 si zilijenga JPM hostel? Sasa iweje hayo mabanda yatumie tena 10bn ukarabati?
Swali hapa hiyo b 10Kuna watu hawapendi kabisa kuona kitu Kama hiki, wangefurahi sana wangeona wanafunzi wanakaa chini hapo ili wapate cha kuisema serikali Ila kwa shule hilo hakika Kuna watu wameumia sana.
Lakini zipo Kilimanjaromkuu hizo ni private watu wamewekeza ili kupata faida hapo. Na hapo huendi bila mamilioni making Ihungo ni bwelele
kila mkoa zipoLakini zipo Kilimanjaro