Ustadh tongwe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 717
- 1,903
sure mkuu, shule imekua poa sanaa lakin ndo 10 b? duuhKaka bilioni 10 zisikie tu hivi. Hata kungekuwa na maktaba gani au maabara ya aina gani (hasa kwa shule ya sekondari) tena marekebisho, hizo hela nyingi sana.
Haswa jamaa wa ufipa....Kuna watu wameumia sana.
Upo?Mwizi wa Rambirambi
Kwani haya ni mashindano?Huko KILIMANJARO shule Kama hizo Ni nyingi Kama uyogaView attachment 1680008View attachment 1680011View attachment 1680013
Kujenga ghorofa kwenye ukanda wa tetemeko ni gharama zaidi. Hivyo hiyo pesa huenda imetumika ki halali kabisa.sawa iko vzuri na kazi kweli imefanyika, pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya tano, ila ndo 10B asee? kweli 10 B? au kuna mengine hayapo kwny picha?
thanks bro mitano Tena 😂😂
Congratulations
Shule ipo bukoba ila cha ajabu mabweni yameandikwa majina kutoka uchagani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hio ni akili?Karibuni mje mjionee mambo ya Dkt. Magufuli hapo sio MABIBO HOSTEL UDSM
Ww ndio hauna akili kwasababu umeshindwa kuelewa maana ya mfananisho huo.hio ni akili?
kufananisha majengo ya hostel na madarasa?
Shule ipo bukoba ila cha ajabu mabweni yameandikwa majina kutoka uchagani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]