Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,987
- 6,682
Mtoa mada kaelezea kabisa kuwa ni katoro ya bukoba
Ya bukoba ni kato(lo) ila ya geita ni kato(ro)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada kaelezea kabisa kuwa ni katoro ya bukoba
mkuu hiyo ya bukoba ni katolo…
katoro hii uliondika hapa ni ya geita, acha kuchanganya mambo umenistuq sana maana katoro ya geita hakuna machotara
katoro unayosemea wewe ni ya chato ila Katoro nayoijua mimi ya geita hakuna masikini wa kiwango unachokise
Ya bukoba ni katolo ya geita ni Katoro
mea hapa acha kupotosha umma
Sijui nipige hii teni?Kwa kijana alieko Katoro ya geita, njoo pm nikupe kazi nyepesi malipo elf 10 chap.
Sio kazi ya kufanya, hapana, ni kazi ya kufika eneo fulan hapo katoro Ili kuona mtu fulan kama yupo / hayupo eneo hilo na kuripot kwangu (pm). Kisha unapata 10k Tsh yako chap.
Nikikuzurumu niripoti kwa Maxence Melo nipigwe ban ya maisha.
Na wewe ukinizurumu kazi (nikikulipa ukashindwa kufanya kazi yangu/nikaja gundua ulifoji) nakuripoti pia
Ujuaji bana
Sijui nipige hii teni?
Unapajua Itako?Yani huko ndo kwetu kabisa. Usisahau na wale waarabu wa kyabagenzi
Kuna majina yanafanana na watu wanayachanganya...wiki iliyopita nilipita hapo Katolo kuelekea kwenye kaziwa kadogo mbele ukishavuka mto Ngoto nikaona Kuna Shule ya msingi Nyakabindi Kama kule Bariadi Simiyu.upo katoro tuonane??
sio ujuajuaji labda kipi nimekijibu kijuaji…jambo usilolijua me ni mkazi wa katoro kwa hiyo majibu yangu ni ya uhalisia Na sio ujuaji
Mkuu Katoro ipo mkoa wa Geita na siyo mkoa wa KageraWakuu,
Kuna hawa Waarabu wa Katoro, tunaomba Serikali iingilie kati. Wamezidi kuzalisha dada zetu na kuwstelekeza. Ukienda maeneo ya Kanazi, Ibwera, Izimbya, mto Ngono nk, unakutana na Machotara wa kiarabu kibao na vitoto vingi vya kipemba.
Sema Katoro napo Uislam ulienea sana, hivyo wale waraabu wanaoa hadi wake 8. Wanaoa na kutoa talaka.
Mashirika ya Kiserikali na NGO's kawasaidie wakina Mama wa Katoro kutoa elimu ya Uzazi wa Mpango. Na Muwasaidie kupata haki zao kutoka kwa Hawa Waarabu wa Katoro.
Nilikuta na Mwarabu anapepeta Kihaya, kukuuliza eti yeye ni Mhaya wa Katoro.
Katoro ipo Bukoba Vijijini Mkoani Kagera
Ruhusu akili yako kujifunza, ubishi haukusaidii. Haya numekubali Katoro ipo Geita, Then what?mkuu hiyo ya bukoba ni katolo…
katoro hii uliondika hapa ni ya geita, acha kuchanganya mambo umenistuq sana maana katoro ya geita hakuna machotara
Pokea taarifa:Kagera kwanza siyo wahaya wao ni wanyambo.....
Ova
Jamaa kakomaa kweli kama anajua vile kumbe anaungua jua.Ujuaji bana
Mnadakwa kwa mitego laini hivi? Hadi wewe?Sijui nipige hii teni?
Tatizo wale Waarabu binti wa watu akishazaa, wanamzalisha binti wa watu na kutelekeza. VSingle mama kibao.
Kila binti mzuri kazalishwa na Waarabu
Kamachumu ndo kwetu, karibu sana mkuuNikweli kule kuna mashombe wengi mpaka Muleba na Kamachumu
Sawa sawa mzee wa [emoji1255]Pokea taarifa:
Kagera ni jina la Mkoa ni kama Kilimanjaro au Dar. Wanyambo unaowasema wapo Karagwe