mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Da we ndio unapotosha kabisa,muhaya ulimi hawezi kuacha kutmia r akatumia l,ile ya bukoba pia ni katoroYa bukoba ni kato(lo) ila ya geita ni kato(ro)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da we ndio unapotosha kabisa,muhaya ulimi hawezi kuacha kutmia r akatumia l,ile ya bukoba pia ni katoroYa bukoba ni kato(lo) ila ya geita ni kato(ro)
🤣🤣🤣🤣Urusi watanitoa rohoSawa sawa mzee wa [emoji1255]
Ova
Nilitaka mpa jibu kama lakoUsikariri karoro ziko mbili geita na bukoba,
Acha kuingialia mapenz ya watuWakuu,
Kuna hawa Waarabu wa Katoro, tunaomba Serikali iingilie kati. Wamezidi kuzalisha dada zetu na kuwstelekeza. Ukienda maeneo ya Kanazi, Ibwera, Izimbya, mto Ngono nk, unakutana na Machotara wa kiarabu kibao na vitoto vingi vya kipemba.
Sema Katoro napo Uislam ulienea sana, hivyo wale waraabu wanaoa hadi wake 8. Wanaoa na kutoa talaka.
Mashirika ya Kiserikali na NGO's kawasaidie wakina Mama wa Katoro kutoa elimu ya Uzazi wa Mpango. Na Muwasaidie kupata haki zao kutoka kwa Hawa Waarabu wa Katoro.
Nilikuta na Mwarabu anapepeta Kihaya, kukuuliza eti yeye ni Mhaya wa Katoro.
Katoro ipo Bukoba Vijijini Mkoani Kagera
Kumbuka. Kilo moja ya unga ni Tsh 1,600!Kikubwa tuzaliane taifa linaitaji nguvu kazi
Wewe nawe nani kakudanganya kwamba Katoro iko Chato Geita ? Usahihi ni kwamba Katoro iko Wilaya ya Geita mkoa wa Geita.Labda katoro nyingine mkuu,Maana katoro ipo chato,geita. Umaskini huko ni kiwango kikubwa na wanawake wengi wana tamaa ya maisha mazuri hivyo kutumika namna hio rahisi sana.
Wewe nawe nani kakudanganya kwamba Katoro iko Chato Geita ? Usahihi ni kwamba Katoro iko Wilaya ya Geita mkoa wa Geita.
Pole sana Katoro iko wilaya ya Geita jimbo la uchaguzi la Busanda. Aliyekuambia kwamba iko Chato alikudanganya sana. Pole.Mkuu Katoro ipo mkoa wa Geita Wilaya ya Chago na siyo mkoa wa Kagera
Wewe ndio mkurupukaji. Tangu lini Katoro ya Geita ikawa wilaya ya Chato ?Mkurupukaji mwingine
Wahaya wanafundwa?Hao mabinti ndio wa kufundwa
Ahaa haaaah. Achana na Katoro hiyo ya Geita. Kuna Katoro 'asilia' huko Bukoba vijijini.Labda katoro nyingine mkuu,Maana katoro ipo chato,geita. Umaskini huko ni kiwango kikubwa na wanawake wengi wana tamaa ya maisha mazuri hivyo kutumika namna hio rahisi sana.
Siyo kweli zote ni KatoroYa bukoba ni katolo ya geita ni Katoro
Uko sawa. Moja iko Bukoba vijijini na nyingine iko Geita vijijiniSiyo kweli zote ni Katoro
Wewe ndio mkurupukaji. Tangu lini Katoro ya Geita ikawa wilaya ya Chato ?
Sasa sii wajanja wanakula mbususu tamu tamuTatizo wale Waarabu binti wa watu akishazaa, wanamzalisha binti wa watu na kutelekeza. VSingle mama kibao.
Kila binti mzuri kazalishwa na Waarabu
Hiyo chato Geita ni yako na ukoo wako.Ndo nimeshaandika hivyo kama vipi pasuka. Chato geita