Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
katoro chato geita
Hiyo chato Geita ni yako na ukoo wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo chato Geita ni yako na ukoo wako.
Endelea kuamini hivyo mburula wewekatoro chato geita
Katoro ipo wilaya ya Geita, mkoa wa Geita.katoro chato geita
Yaani nyie wenyewe mnashindwa kuwajibika kuwasimamia mabinti zenu mnataka serikali ndo ije kuwafunga gavana, basi kaeni hapo kuisubiri hiyo serikali.Wakuu,
Kuna hawa Waarabu wa Katoro, tunaomba Serikali iingilie kati. Wamezidi kuzalisha dada zetu na kuwstelekeza. Ukienda maeneo ya Kanazi, Ibwera, Izimbya, mto Ngono nk, unakutana na Machotara wa kiarabu kibao na vitoto vingi vya kipemba.
Sema Katoro napo Uislam ulienea sana, hivyo wale waraabu wanaoa hadi wake 8. Wanaoa na kutoa talaka.
Mashirika ya Kiserikali na NGO's kawasaidie wakina Mama wa Katoro kutoa elimu ya Uzazi wa Mpango. Na Muwasaidie kupata haki zao kutoka kwa Hawa Waarabu wa Katoro.
Nilikuta na Mwarabu anapepeta Kihaya, kukuuliza eti yeye ni Mhaya wa Katoro.
Katoro ipo Bukoba Vijijini Mkoani Kagera
katolo islamic secondary...Huko katoro ya Bukoba ndio kuna shule walimu walishirikiana na baadhi ya wanafunzi kumuua mwanafunzi aliyekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mvulana mwenzake
[emoji16][emoji16][emoji16] huko inaelekea ngono inafanyika sanaUkitoka Bukoba Kwenda Misenyi Unaonekana Kwa Mbali Upande Wa Kushoto Huo Mto Ngono!!!
Endelea amini hivyo mburula nizakale
Endelea amini hivyo mburula nizakale
Katoro ipo wilaya ya Geita, mkoa wa Geita.
Nasiyo Chato hujaulizwa kiherehere tu
Ruhusu akili yako kujifunza, ubishi haukusaidii. Haya numekubali Katoro ipo Geita, Then what?
View attachment 2252587
Mnadakwa kwa mitego laini hivi? Hadi wewe?
Wewe unanichanganya na hujui matumizi ya Majukwaa. Waliokutuma wamekidanganya. Hii thread inahusiana nini na ulichokiandika? Tumia akili bossbaada ya kudakwa what next, sio kila kitu kipo negative chief
Chato hakuna KatoroLabda katoro nyingine mkuu,Maana katoro ipo chato,geita. Umaskini huko ni kiwango kikubwa na wanawake wengi wana tamaa ya maisha mazuri hivyo kutumika namna hio rahisi sana.
Chato hakuna Katoro