Kagera: Serikali iwafunge Gavana Wanaume wa Katoro, Wanazalisha sana na kutelekeza

Sijui nipige hii teni?
 
Huko katoro ya Bukoba ndio kuna shule walimu walishirikiana na baadhi ya wanafunzi kumuua mwanafunzi aliyekuwa na mahusiano ya kimapenzi na mvulana mwenzake
 
upo katoro tuonane??
Kuna majina yanafanana na watu wanayachanganya...wiki iliyopita nilipita hapo Katolo kuelekea kwenye kaziwa kadogo mbele ukishavuka mto Ngoto nikaona Kuna Shule ya msingi Nyakabindi Kama kule Bariadi Simiyu.

Huko ndo maeneo ya kijijini kwao alikozaliwa Tajiri Nizar Kalemani.
 
Tatizo mkuu umembishia kila mtu kuanzia mleta mada hadi aliyekua ananipa elimu ya katoro ya geita na bukoba. mleta mada kakosea tu spelling,aliyenioa elimu sijaona alipokosea . Mkoseaji ni mie ila tu katoro ya chato vibinti vimechangamka sana na single mothers wengi mno hapo ndipo nilipochanganya madesa
sio ujuajuaji labda kipi nimekijibu kijuaji…jambo usilolijua me ni mkazi wa katoro kwa hiyo majibu yangu ni ya uhalisia Na sio ujuaji
 
Mkuu Katoro ipo mkoa wa Geita na siyo mkoa wa Kagera
 
Kagera kwanza siyo wahaya wao ni wanyambo.....

Ova
 
mkuu hiyo ya bukoba ni katolo…
katoro hii uliondika hapa ni ya geita, acha kuchanganya mambo umenistuq sana maana katoro ya geita hakuna machotara
Ruhusu akili yako kujifunza, ubishi haukusaidii. Haya numekubali Katoro ipo Geita, Then what?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…