Kagera: Serikali iwafunge Gavana Wanaume wa Katoro, Wanazalisha sana na kutelekeza

Yaani nyie wenyewe mnashindwa kuwajibika kuwasimamia mabinti zenu mnataka serikali ndo ije kuwafunga gavana, basi kaeni hapo kuisubiri hiyo serikali.
 

Ukitoka Bukoba Kwenda Misenyi Unaonekana Kwa Mbali Upande Wa Kushoto Huo Mto Ngono!!!

[emoji16][emoji16][emoji16] huko inaelekea ngono inafanyika sana
 
Wacha watu wazaliane ili Taifa liongeze nguvu kazi
Nalog off Z
 
baada ya kudakwa what next, sio kila kitu kipo negative chief
Wewe unanichanganya na hujui matumizi ya Majukwaa. Waliokutuma wamekidanganya. Hii thread inahusiana nini na ulichokiandika? Tumia akili boss
 
Labda katoro nyingine mkuu,Maana katoro ipo chato,geita. Umaskini huko ni kiwango kikubwa na wanawake wengi wana tamaa ya maisha mazuri hivyo kutumika namna hio rahisi sana.
Chato hakuna Katoro
 
Serikali irudishe kwa nguvu elimu ya uzazi wa mpango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…