Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Zero brain umekariri tu hujaelimika. Kajifunze upper case na lower case kwanza ndio uje kushindana na akili kubwa.Kweli wewe hamnazo, ni sheria ipi inasema hivyo na imeandikwa wapi kwamba kila jina lazima lianze na herufi kubwa? Kama wewe unajifanya msomi kuliko mimi naweza nikahitaji tuweke vyeti hapa! Maana mimi sioni ugumu wowote kufanya hivyo.
PovuuAma kweli TFF imehamia simba mhh tutaona mbele huko maana mmebebwa weeeee mpaka mnapewa za mezani
Soon aja ya kumkashifu mwezako... Yeye katoa mawazo yake yaeshimu auwkosoa kistaharabu ayo nimawazo yake duniani hakuna kisichobadiriki ndo maana leo unaona ata rais wa fifa anakuja na taratibu zake bazo hazikuwepo kwenye mpira wa miguuYaani unazidi kuonesha upumbavu wako kwa kufananisha mpira na siasa! Kweli wewe akili zako ukubwa wake ni sawa na kisoda!
Akili kubwa ipi? Hii inayoongozwa na mihemko? Hujui hata kutofautisha mpira na siasa ndio unajiita akili kubwa! Inaonesha huko shuleni ulikuwa unawasindikiza wenzako.Zero brain umekariri tu hujaelimika. Kajifunze upper case na lower case kwanza ndio uje kushindana na akili kubwa.
Mahakamani!! Labda mkawashtaki waliotunga hiyo sheriaJumapili ndo mwisho wa ligi kuu jumatatu tunatinga mahakamani kuisimamisha ligi isiendelee
Mkienda ndo mmeondolewa kushiri ligi Tanzania maana sheria na jatiba TFF inakataza kwenda mahakamaniJumapili ndo mwisho wa ligi kuu jumatatu tunatinga mahakamani kuisimamisha ligi isiendelee
Kwa sababu akili yako ni ndogo, hujui kilichofanyika ni siasa za mpira.Akili kubwa ipi? Hii inayoongozwa na mihemko? Hujui hata kutofautisha mpira na siasa ndio unajiita akili kubwa! Inaonesha huko shuleni ulikuwa unawasindikiza wenzako.
Acha ushabiki maandazi wewe! Kwani sheria si zinaeleweka wazi kwamba ukiwa na straight yellow tatu kinachofuata na ukacheza mchezo unaofuata lazima timu itakatwa points! Hiyo ni sheria sio mimi! Sasa hapo siasa ipo sehemu gani?Kwa sababu akili yako ni ndogo, hujui kilichofanyika ni siasa za mpira.
Mkuu acha kulia lia kata rufaa ili simba iporwe hizo pointAjibu alishawahi kuwa na kadi tatu za njano lakini mechi inayofuata akacheza, alipokatiwa rufaa simba walidai mchezaji mwenye kadi 3 anaruhusiwa kucheza kwakuwa klabu ita amua nimechi ipi atatumikia iyo adhabu. Na Tff wakaipa simba ushindi.
Simba waliicheza na Polisi Novat Lufunga alichezeshwa akiwa na kadi 3 na polisi walipo kata rufaa, wakaambiwa kadi zile alizipata kwenye ligi tofauti na kombe la Tff. Vilevile waliambiwa rufaayao imechelewa. Yaani kila siku Tff wanahamisha magoli, ili jambo nila kutia aibu sana.
Kanuni inasema je kuhusu mchezaji mwenye Kadi 3 za njano?Ama kweli TFF imehamia simba mhh tutaona mbele huko maana mmebebwa weeeee mpaka mnapewa za mezani
Ndio Maana Kanuni zikawepo.Mmezoea za kununua Sasa Muuza ngada imebumaAma kweli TFF imehamia simba mhh tutaona mbele huko maana mmebebwa weeeee mpaka mnapewa za mezani
Duuu, haya bhana twende kazi.Taarifa hizi nimezikia kupitia kipindi cha kipenga cha EA Radio 20:57.
=====
Kamati ya saa 72 ya TFF imeipatia Klabu ya Simba SC pointi tatu na magoli matatu baada ya mchezaji Fakhi wa Kagera Sugar kucheza dhidi yao huku akiwa na kadi 3 za njano kinyume na kanuni zinazoendesha soka nchini.
Sasa Simba SC wanafikisha pointi 62 na kujikita kileleni.