Uchaguzi 2020 Kagera: Yaliyojiri mkutano wa Tundu Lissu kusaka Urais wa Tanzania 2020-2025

Usidanganyike!

Wahudhuriaji wengi wa mikutano ya Magu ni watu waliosombwa toka wilaya na vijiji vya jirani. Husombwa kwa mabasi, malori na matrekta.

Ni watu wachache sana wanaohudhuria mikutano ya Magu ambao ni wakazi wa eneo husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni smart move
Kuna jeshi la vijana la CCM na "kitengo" wamepewa kazi ya kutukana na kuponda viongozi wa upinzani wenye nondo kali na pia ili kuinfluence public opinion, kuwakatisha tamaa viongozi wa upinzani. Kwa hiyo akili nzuri ni kufunga comment ili umma wenyewe upokee maudhui bila kuwa influenced na jeshi hilo la mtandaoni
 
Kagera wameamua kuonyesha kwa vitendo kwamba tetemeko halikuletwa na jiwe
 
K
Hiyo ni ww unavyoamini.Siwezi kukupinga.Lakini si kila anayehudhuria anapiga kura.Kwa Na pia Magu anawatu wengi kuliko Lissu
 
Hakuna balaa yoyote Magufuli alijaza uwanja wa Gymcana saa 06:45 asubuhu, huyu jamaaa hadi muda huu Gymcana hakuna kinachoendelea .
 
Watanzania ni Wanafiki sana....Sidhani kama kweli alisema vile kama Chuki ila aliexplain kwamba zile ni natural disasters so huwezi ilaumu serikali, baadhi ya watu ambao hawakua wameathirika walibomoa nyumba zao makusudi ili serikal iwalipe fidia ....Tuache Unafiki na Kusambaza Chuki!!!
 
Acha Uongo!
 
Ww upo mwanza,lakini tuliona kwenye TV .Wote walikuwa wanafunz?Basi Mwanza ina wanafunz wengi sana.Pia tuliona watu mabarabarani wakimusubri.Kwa hiyo nayo ni nguvu kubwa.Tutumie hoja zaidi.Tusitumie mihemko
 
Acha kupotosha umma wewe na wale waliosimamisha msafara wake kuanzia Kisesa, Igoma, Buzuruga hadi mabatini walisombwa na magari.


Yaani safari CDM jiandaeni kisaikolojia mkipata wabunge zaidi ya 5 itakuwa maajabu sana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…