Kahama na Mwanza Mjini: Naomba kujua wapi panafaa kuwekeza lodge ya kisasa

Kahama na Mwanza Mjini: Naomba kujua wapi panafaa kuwekeza lodge ya kisasa

Sega la asali

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2023
Posts
1,153
Reaction score
2,700
Habari wakuu;

Naomba kufahamishwa kati ya wilaya Kahama na Mwanza mjini ni wapi pazuri kuwekeza Lodge ya kisasa na biashara ikasonga?

Zingatia haya unaposhauri;

1. Upatikanaji wa kiwanja wenye ukubwa wa angalau ukubwa wa mraba 30mx40m

2. Maeneo yapi mwa mji utapata ukubwa huo na bei yake

3. Mwingiliano mzuri wa wageni na wenyeji.

4. Changamoto za miji hiyo

Nitashukuru kwa kufunguliwa macho katika biashara hiyo.
Asanteni sana
 
Nina kiwanja kahama kiko nyahanga na bei yake ni ml 20
 
Back
Top Bottom