Pre GE2025 Kahama: Paul Makonda ataka Caroline apewe eneo la Serikali, Mkurugenzi asema kumiliki Ardhi ni jambo la kisheria sio siasa

Pre GE2025 Kahama: Paul Makonda ataka Caroline apewe eneo la Serikali, Mkurugenzi asema kumiliki Ardhi ni jambo la kisheria sio siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
"...hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama."

1. Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ilikusanya Tshs billioni 32 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Bado kuna Halmashauri za Manispaa za Temeke na Kinondoni ambazo zilikusanya mapato kuizidi Manispaa ya Ubungo. Kwa hiyo Kahama bado ni mtoto tu kwenye kundi la Manispaa.

Halafu kuhusu ushindani wa makausanyo ya mapato, TAMISEMI wameweka Halmashauri katika makundi: Kuna Miji Midogo, Miji, Manispaa, Wilaya, na Majiji. Kahama ipo kundi la Manispaa, hata hivyo haiwezi kushika namba moja.

2. Kuhusu Wilaya ya Kahama kuwa Mkoa wa Kikodi pekee. Tarafa ya Kariakoo iliyopo Wilaya ya Ilala ni Mkoa wa Kikodi; Tarafa ya Mbagala iliyopo Wilaya ya Temeke ni Mkoa wa Kikodi. Mifano ipo mingi. Kwa hiyo siyo kweli.

3. Halmashauri ya Manispaa ya Kahama haikupandishwa hadhi kutoka Halmashauri ya Wilaya na kuwa Halmashauri ya Manispaa. Isipokuwa, Halmashauri ya Mji wa Kahama ndiyo uliopandishwa hadhi na kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama.

Wilaya ya Kahama ina Majimbo matatu: Kahama Mjini, Ushetu na Msalala. Jimbo la Kahama Mjini ndilo linabeba eneo lote la Manispaa ya Kahama.

Majimbo ya Ushetu na Msalala yana Halmashauri yake ya Wilaya( sikumbuki jina)

4. Ukisema kuna Halmashauri zinakuja Kahama kujifunza basi ni hivi, Kahama wenyewe madiwani walienda Manispaa ya Ubungo kujifunza namna ya kukusanya mapato haswa ya Stendi. Halmashauri nyingine zilizoenda Ubungo ni Mwanza Jiji, Ilemela MC, Tanga Jiji, na wengine wa kule Zanzibar. Hata Arusha Jiji walienda Ubungo.

5. Halmashauri zote nchini zenye mapato makubwa zikeruhusiwa na TAMISEMI kutumia sehemu ya mapato yake kufanya miradi ya maendeleo. Sasa hata kama Kahama inatumia sehemu ya mapato katika miradi ya ndani, haiwezi kuzizidi Halmashauri kama Temeke, Kinondoni na Jiji la Dar es Salaam zenye mapato mengi kuishinda Kahama.View attachment 2886962

Kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023 Kahama Manispaa ilijiwekea lengo la kukusanya bilioni 10.25 za Kitanzania wakati Manispaa ya Ubungo ilikusanya bilioni 32 za Kitanzania.
Labda angesema inaongoza kwa Wilaya ambazo hazipo mwenye Majiji
 
"...hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama."

1. Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ilikusanya Tshs billioni 32 katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Bado kuna Halmashauri za Manispaa za Temeke na Kinondoni ambazo zilikusanya mapato kuizidi Manispaa ya Ubungo. Kwa hiyo Kahama bado ni mtoto tu kwenye kundi la Manispaa.

Halafu kuhusu ushindani wa makausanyo ya mapato, TAMISEMI wameweka Halmashauri katika makundi: Kuna Miji Midogo, Miji, Manispaa, Wilaya, na Majiji. Kahama ipo kundi la Manispaa, hata hivyo haiwezi kushika namba moja.

2. Kuhusu Wilaya ya Kahama kuwa Mkoa wa Kikodi pekee. Tarafa ya Kariakoo iliyopo Wilaya ya Ilala ni Mkoa wa Kikodi; Tarafa ya Mbagala iliyopo Wilaya ya Temeke ni Mkoa wa Kikodi. Mifano ipo mingi. Kwa hiyo siyo kweli.

3. Halmashauri ya Manispaa ya Kahama haikupandishwa hadhi kutoka Halmashauri ya Wilaya na kuwa Halmashauri ya Manispaa. Isipokuwa, Halmashauri ya Mji wa Kahama ndiyo uliopandishwa hadhi na kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama.

Wilaya ya Kahama ina Majimbo matatu: Kahama Mjini, Ushetu na Msalala. Jimbo la Kahama Mjini ndilo linabeba eneo lote la Manispaa ya Kahama.

Majimbo ya Ushetu na Msalala yana Halmashauri yake ya Wilaya( sikumbuki jina)

4. Ukisema kuna Halmashauri zinakuja Kahama kujifunza basi ni hivi, Kahama wenyewe madiwani walienda Manispaa ya Ubungo kujifunza namna ya kukusanya mapato haswa ya Stendi. Halmashauri nyingine zilizoenda Ubungo ni Mwanza Jiji, Ilemela MC, Tanga Jiji, na wengine wa kule Zanzibar. Hata Arusha Jiji walienda Ubungo.

5. Halmashauri zote nchini zenye mapato makubwa zikeruhusiwa na TAMISEMI kutumia sehemu ya mapato yake kufanya miradi ya maendeleo. Sasa hata kama Kahama inatumia sehemu ya mapato katika miradi ya ndani, haiwezi kuzizidi Halmashauri kama Temeke, Kinondoni na Jiji la Dar es Salaam zenye mapato mengi kuishinda Kahama.View attachment 2886962

Kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023 Kahama Manispaa ilijiwekea lengo la kukusanya bilioni 10.25 za Kitanzania wakati Manispaa ya Ubungo ilikusanya bilioni 32 za Kitanzania.
Nakupongeza kwa majibu yenye utafiti.
Hata kama huyo Mkurugenzi wa Kahama anasingiwa ni vema akabadilishiwa kituo cha kazi kwa ajili ya heshima ya CCM.
Hata hivyo,nasikia huyo Mkurugenzi ni mjanja sana.Akipata tuhuma za aina hii huwa anahonga watu fulani wanaohusika ili asiondoke hapo.Si ajabu hata mleta mada amepitiwa na maokoto ya huyo kiongozi.
 
Nakupongeza kwa majibu yenye utafiti.
Hata kama huyo Mkurugenzi wa Kahama anasingiwa ni vema akabadilishiwa kituo cha kazi kwa ajili ya heshima ya CCM.
Hata hivyo,nasikia huyo Mkurugenzi ni mjanja sana.Akipata tuhuma za aina hii huwa anahonga watu fulani wanaohusika ili asiondoke hapo.Si ajabu hata mleta mada amepitiwa na maokoto ya huyo kiongozi.
Nasikia kwa kazi nzuri na Uadilifu wake Full Council imekuwa ikisita kuacha jamaa aondolewe ili Kahama iwe Mkoa
 
Haraka haraka kwenye mada,

Mhe Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga na kulitetea Taifa letu na chama chetu Cha Mapinduzi, hakika unastahili pongezi kwa hili.

Mhe Paul Makonda, Majuzi wakati ukiwa hapa Kahama kuna jambo lilinishtua na roho ikaumia sana wakati unalazimisha yule dada Caroline apewe eneo ambalo ni mali halali ya Serikali (Umma).

Mhe Paul Makonda, Nilishangaa zaidi kuona kwanini hawa watu wabaya watumie jukwaa lako kutengeneza Uongo na kutaka kuiba mali za umma zilizopo kihalali huku wakikuhusisha wewe katika nia zao hizo ovu?

Mhe Paul Makonda, yule mama Caroline aliyekuwa anakulilia kisanii pale viwanjani Mimi namfahamu na mgogoro wake pia naufahamu vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho ulidanganywa.

Mhe Paul Makonda, Nafahamu Mama huyu tangu alivyoshindwa kesi katika mahakama ya Wilaya ya Ardhi Kahama na baadae akakata rufaa Mahakama kuu Shinyanga mahakama zote hizi zilitamka kuwa lile ni eneo la Serikali (umma).

Mhe Paul Makonda, Kama utataka kujiridhisha zaidi mwambie akuletee uamuzi wa mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga kama alivyodai mbele ya umma kuwa ameshinda kesi.

Mhe Paul Makonda, Ukweli kuhusu madai ya Caroline unaweza pia kuwauliza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Sophia Mjema au aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Anamringi Macha ambae Sasa ndio Naibu Katibu Mkuu wa Chama chetu hawa wote wanamfahamu Caroline na eneo pia wanalifahamu watakupa ukweli wote.

Mhe Paul Makonda, najiuliza kwanini mtu atake kuchukua eneo la Umma na wewe bila kujali Wala kudadisi kwa kina unataka kumpa sapoti achukue mali ya Serikali (umma) kwani huoni kama kwa kufanya hivyo unachochea mgogoro zaidi?

Mhe Paul Makonda, Nataka nikueleze kuwa Kahama tunamkurugenzi ambae kwanza hanunuliki lakini pili ni mtu mwadilifu na anauchungu na mali za Serikali ndio maana unaona hataki janja janja hizi za watu kupora mali za umma.

Mhe Paul Makonda, Wilaya ya Kahama imepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka na Watanzania wanalijua hili ukilinganisha na Halmashauri nyingine zote hapa Tanzania bara na hata huko Visiwani.

Mhe Paul Makonda, kama Kuna sababu tatu kubwa za Kahama kuwa hivi ilivyo Leo basi moja ni uwepo wa huyu mkurugenzi mwadilifu na ndio sababu Halmashauri zote Tanzania wanakuja kujifunza hapa Kahama " Mkurugenzi huyu ni shamba darasa kitaifa "

Mhe Paul Makonda, Mkurugenzi huyu kaitoa Kahama kwenye Halmashauri ya Wilaya hadi leo ni "Municipal council" Waswahili tunasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe ukweli ni kwamba binadamu wote tunayomadhaifu ila huyu anajitahidi sana.

Mhe Paul Makonda, Najua unajua mtu anayefañya kazi vizuri wakati wote hapendwi hasa na majizi na wapigadili, Ukweli mchungu huyu jamaa sio mwizi Wala mlarushwa TAMISEMI wanajua hivyo na ndivyo ilivyo.

Mhe Paul Makonda, hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama.

Mhe Paul Makonda, Tunapopata vijana waadilifu na Waaminifu kama hawa lazima tuwapongeze na kuwatia moyo nasio kuwakemea na kuwadhalilisha mbele ya halaiki bila kujali kazi kubwa wanayoifanyia nchi yetu.

Mwisho, Tupelekee salamu zetu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwambie kura zake za mwaka 2025 Kahama zimetimia hata kama Uchaguzi utakuwa ni kesho mama anashinda kwa kishindo.

Ni mimi Mabula Malunde Sitta.
Kwani hilo eneo unalitaka wewe? Kwani Serikali ikiamua kumpa ardhi mwananchi wake ni kosa? Wewe ungepewa ungelikataa!!

Haya turudi kwenye hoja kwamba wewe hilo sakata unalijua vizuri. Kwanini hukujitokeza kulitolea ufafanuzi!?

Hujajipanga bwashee, amekutuma Mkurugenzi lakini hujaliwasilisha vizuri. Utamuharibia kazi
 
Kwani hilo eneo unalitaka wewe? Kwani Serikali ikiamua kumpa ardhi mwananchi wake ni kosa? Wewe ungepewa ungelikataa!!

Haya turudi kwenye hoja kwamba wewe hilo sakata unalijua vizuri. Kwanini hukujitokeza kulitolea ufafanuzi!?

Hujajipanga bwashee, amekutuma Mkurugenzi lakini hujaliwasilisha vizuri. Utamuharibia kazi
Akili yako haina akili,

1. Kama ametumwa kwanini amuharibie kazi aliyemtuma wakati aliyemtuma kwamantiki yako ndio in yeye aliyeandika?

2. Kwani kunasehemu mleta mada kasema Mkurugenzi asichukuliwe hatua ikibainika ni kweli kafanya makosa?

3. Mleta mada ametoa dukuduku lake na katoa rejea tatizo liko wapi hapo au rejea zimetoa taarifa tofauti?

4. Nadhani mleta mada anania nzuri ya kutaka mwenezi aongeze umakini katika ziara zake.

5. Mleta mada pia anataka Mkurugenzi anayetetea mali ya Umma awe credited sio yule mama tapeli,
 
Haraka haraka kwenye mada,

Mhe Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga na kulitetea Taifa letu na chama chetu Cha Mapinduzi, hakika unastahili pongezi kwa hili.

Mhe Paul Makonda, Majuzi wakati ukiwa hapa Kahama kuna jambo lilinishtua na roho ikaumia sana wakati unalazimisha yule dada Caroline apewe eneo ambalo ni mali halali ya Serikali (Umma).

Mhe Paul Makonda, Nilishangaa zaidi kuona kwanini hawa watu wabaya watumie jukwaa lako kutengeneza Uongo na kutaka kuiba mali za umma zilizopo kihalali huku wakikuhusisha wewe katika nia zao hizo ovu?

Mhe Paul Makonda, yule mama Caroline aliyekuwa anakulilia kisanii pale viwanjani Mimi namfahamu na mgogoro wake pia naufahamu vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho ulidanganywa.

Mhe Paul Makonda, Nafahamu Mama huyu tangu alivyoshindwa kesi katika mahakama ya Wilaya ya Ardhi Kahama na baadae akakata rufaa Mahakama kuu Shinyanga mahakama zote hizi zilitamka kuwa lile ni eneo la Serikali (umma).

Mhe Paul Makonda, Kama utataka kujiridhisha zaidi mwambie akuletee uamuzi wa mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga kama alivyodai mbele ya umma kuwa ameshinda kesi.

Mhe Paul Makonda, Ukweli kuhusu madai ya Caroline unaweza pia kuwauliza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Sophia Mjema au aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Anamringi Macha ambae Sasa ndio Naibu Katibu Mkuu wa Chama chetu hawa wote wanamfahamu Caroline na eneo pia wanalifahamu watakupa ukweli wote.

Mhe Paul Makonda, najiuliza kwanini mtu atake kuchukua eneo la Umma na wewe bila kujali Wala kudadisi kwa kina unataka kumpa sapoti achukue mali ya Serikali (umma) kwani huoni kama kwa kufanya hivyo unachochea mgogoro zaidi?

Mhe Paul Makonda, Nataka nikueleze kuwa Kahama tunamkurugenzi ambae kwanza hanunuliki lakini pili ni mtu mwadilifu na anauchungu na mali za Serikali ndio maana unaona hataki janja janja hizi za watu kupora mali za umma.

Mhe Paul Makonda, Wilaya ya Kahama imepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka na Watanzania wanalijua hili ukilinganisha na Halmashauri nyingine zote hapa Tanzania bara na hata huko Visiwani.

Mhe Paul Makonda, kama Kuna sababu tatu kubwa za Kahama kuwa hivi ilivyo Leo basi moja ni uwepo wa huyu mkurugenzi mwadilifu na ndio sababu Halmashauri zote Tanzania wanakuja kujifunza hapa Kahama " Mkurugenzi huyu ni shamba darasa kitaifa "

Mhe Paul Makonda, Mkurugenzi huyu kaitoa Kahama kwenye Halmashauri ya Wilaya hadi leo ni "Municipal council" Waswahili tunasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe ukweli ni kwamba binadamu wote tunayomadhaifu ila huyu anajitahidi sana.

Mhe Paul Makonda, Najua unajua mtu anayefañya kazi vizuri wakati wote hapendwi hasa na majizi na wapigadili, Ukweli mchungu huyu jamaa sio mwizi Wala mlarushwa TAMISEMI wanajua hivyo na ndivyo ilivyo.

Mhe Paul Makonda, hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama.

Mhe Paul Makonda, Tunapopata vijana waadilifu na Waaminifu kama hawa lazima tuwapongeze na kuwatia moyo nasio kuwakemea na kuwadhalilisha mbele ya halaiki bila kujali kazi kubwa wanayoifanyia nchi yetu.

Mwisho, Tupelekee salamu zetu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwambie kura zake za mwaka 2025 Kahama zimetimia hata kama Uchaguzi utakuwa ni kesho mama anashinda kwa kishindo.

Ni mimi Mabula Malunde Sitta.
1.Mkurugenzi yuko sahihi 100%

2. Makonda ajaribu kufanya tathmin kabla ya kulaumu

3. Kama mahakama imeamua Mkurugenzi hana say hapo
 
Haraka haraka kwenye mada,

Mhe Paul Makonda, mwenezi wetu pole na hongera kwa kazi kubwa na nzuri unayoifanya katika kulijenga na kulitetea Taifa letu na chama chetu Cha Mapinduzi, hakika unastahili pongezi kwa hili.

Mhe Paul Makonda, Majuzi wakati ukiwa hapa Kahama kuna jambo lilinishtua na roho ikaumia sana wakati unalazimisha yule dada Caroline apewe eneo ambalo ni mali halali ya Serikali (Umma).

Mhe Paul Makonda, Nilishangaa zaidi kuona kwanini hawa watu wabaya watumie jukwaa lako kutengeneza Uongo na kutaka kuiba mali za umma zilizopo kihalali huku wakikuhusisha wewe katika nia zao hizo ovu?

Mhe Paul Makonda, yule mama Caroline aliyekuwa anakulilia kisanii pale viwanjani Mimi namfahamu na mgogoro wake pia naufahamu vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho ulidanganywa.

Mhe Paul Makonda, Nafahamu Mama huyu tangu alivyoshindwa kesi katika mahakama ya Wilaya ya Ardhi Kahama na baadae akakata rufaa Mahakama kuu Shinyanga mahakama zote hizi zilitamka kuwa lile ni eneo la Serikali (umma).

Mhe Paul Makonda, Kama utataka kujiridhisha zaidi mwambie akuletee uamuzi wa mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga kama alivyodai mbele ya umma kuwa ameshinda kesi.

Mhe Paul Makonda, Ukweli kuhusu madai ya Caroline unaweza pia kuwauliza aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe Sophia Mjema au aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Anamringi Macha ambae Sasa ndio Naibu Katibu Mkuu wa Chama chetu hawa wote wanamfahamu Caroline na eneo pia wanalifahamu watakupa ukweli wote.

Mhe Paul Makonda, najiuliza kwanini mtu atake kuchukua eneo la Umma na wewe bila kujali Wala kudadisi kwa kina unataka kumpa sapoti achukue mali ya Serikali (umma) kwani huoni kama kwa kufanya hivyo unachochea mgogoro zaidi?

Mhe Paul Makonda, Nataka nikueleze kuwa Kahama tunamkurugenzi ambae kwanza hanunuliki lakini pili ni mtu mwadilifu na anauchungu na mali za Serikali ndio maana unaona hataki janja janja hizi za watu kupora mali za umma.

Mhe Paul Makonda, Wilaya ya Kahama imepiga hatua kubwa sana za kimaendeleo kwa haraka na Watanzania wanalijua hili ukilinganisha na Halmashauri nyingine zote hapa Tanzania bara na hata huko Visiwani.

Mhe Paul Makonda, kama Kuna sababu tatu kubwa za Kahama kuwa hivi ilivyo Leo basi moja ni uwepo wa huyu mkurugenzi mwadilifu na ndio sababu Halmashauri zote Tanzania wanakuja kujifunza hapa Kahama " Mkurugenzi huyu ni shamba darasa kitaifa "

Mhe Paul Makonda, Mkurugenzi huyu kaitoa Kahama kwenye Halmashauri ya Wilaya hadi leo ni "Municipal council" Waswahili tunasema mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe ukweli ni kwamba binadamu wote tunayomadhaifu ila huyu anajitahidi sana.

Mhe Paul Makonda, Najua unajua mtu anayefañya kazi vizuri wakati wote hapendwi hasa na majizi na wapigadili, Ukweli mchungu huyu jamaa sio mwizi Wala mlarushwa TAMISEMI wanajua hivyo na ndivyo ilivyo.

Mhe Paul Makonda, hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa ukusanyaji wa Mapato Tanzania kama sio Kahama tena hebu nitajie Halmashauri moja inayoongoza kwa miradi ya maendeleo kwa Fedha za ndani kama sio Kahama au hebu nitajie Wilaya moja inayoitwa Mkoa wa Kikodi hapa Tanzania kama sio Kahama.

Mhe Paul Makonda, Tunapopata vijana waadilifu na Waaminifu kama hawa lazima tuwapongeze na kuwatia moyo nasio kuwakemea na kuwadhalilisha mbele ya halaiki bila kujali kazi kubwa wanayoifanyia nchi yetu.

Mwisho, Tupelekee salamu zetu kwa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan mwambie kura zake za mwaka 2025 Kahama zimetimia hata kama Uchaguzi utakuwa ni kesho mama anashinda kwa kishindo.

Ni mimi Mabula Malunde Sitta.
Mkurugenzi Usikate tamaa komaa mwanangu hii nchi Wakurugenzi wengi hawana muda na mali za umma,

Hapo ungeamua kushirikiana na huyo mwanamke uaingekosa hata hekta 3 za kwako,

Komaa uzalendo unalipa sana hapo baadae.
 
Nakupongeza kwa majibu yenye utafiti.
Hata kama huyo Mkurugenzi wa Kahama anasingiwa ni vema akabadilishiwa kituo cha kazi kwa ajili ya heshima ya CCM.
Hata hivyo,nasikia huyo Mkurugenzi ni mjanja sana.Akipata tuhuma za aina hii huwa anahonga watu fulani wanaohusika ili asiondoke hapo.Si ajabu hata mleta mada amepitiwa na maokoto ya huyo kiongozi.

Aisee..Shukrani sana
 
Hiyo ni kawaida ya mahakama za Kangaroo
 
Back
Top Bottom