Vipi ulikuwepo?Hawa polisi wanafikirisha sana, hapakua na haja ya kutumia nguvu au kuwapiga wananchi mabomu, hapo wakiulizwa watasema wanalinda usalama wa Lissu dhidi ya wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ulikuwepo?Hawa polisi wanafikirisha sana, hapakua na haja ya kutumia nguvu au kuwapiga wananchi mabomu, hapo wakiulizwa watasema wanalinda usalama wa Lissu dhidi ya wananchi
Hawa polisi wanafikirisha sana, hapakua na haja ya kutumia nguvu au kuwapiga wananchi mabomu, hapo wakiulizwa watasema wanalinda usalama wa Lissu dhidi ya wananchi
Hapana, uliniwakilishaVipi ulikuwepo?
Angalia usije ukaenda kwenye fujo za wahuni wa Lissu utabakwa dada kuwa makini.Kwani ngumi ndio kipi
Kwani ngumi ndio kipimo cha ccm kushinda?
Nawaangalia Halafu Nasema Hii Bhaghoshaa 😁😂Duuh sasa wanavyokusanyika hapo wanataka nini kitokee.
Kwani mi ndo nimesema hivyo?Kwani ngumi ndio kipimo cha ccm kushinda?
Mtashangaa tarehe 28/10/2020.Tena anguko kubwa sana Mkuu.
Amani wakati unasikia watu wamepigwa mabomu na risasi, hivi unajua kusoma au unaangalia picha tu?!
Tena anguko kubwa sana Mkuu.
Ccm mmezoea kubaka ndio shidaAngalia usije ukaenda kwenye fujo za wahuni wa Lissu utabakwa dada kuwa makini.
Acha wapigwe tu. Tunajua anachukua wahuni toka Kahama kuwapeleka Chato ili wakawafanyie uhuni wanachato.Siku akitinga Chato anaweza kupigwa magutuneti au ICBM sio kwa kunyanyaswa huko
Kuwa makini dada nakutazalisha wanasaccos siyo watu kabisa!Ccm mmezoea kubaka ndio shida
Kajifunze kuandika kiswahili sahihi "kutazalisha" ndio niniKuwa makini dada nakutazalisha wanasaccos siyo watu kabisa!
Ccm Ni Sikio La Kufa Halisikii DawaCcm mmezoea kubaka ndio shida
huo usiku utawahakikishia usalama wewe? waliomba kibali cha kukusanyika hapo? polisi wana uhakika gani kuwa sio wabaya wa lissu wanasubiri giza liingie wamdhuru..WHY?
..Hao watu usiku ukizidi kuingia wataondoka wenyewe.
..Polisi wetu hawana akili kabisa.
Wanabaka kuanzia demokrasia mpaka binadamu wenzaoCcm Ni Sikio La Kufa Halisikii Dawa