Uchaguzi 2020 Kahama: Polisi wapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliojaa nje ya hotel aliyofikia Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Kahama: Polisi wapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliojaa nje ya hotel aliyofikia Tundu Lissu

Wapuuzi sana hawa polisiccm mahali haki kuwa na fujo za aina yoyote ile bali furaha tele ya kuwa na mgombea wao. Polisiccm wakanuna!
Mpuuzi ni ewe unayeweka propaganda.
 
Lissu kwenye kampeni zake kishatembea mikoa mingi Nchini na pamoja na kwamba kulikuwa na umati mkubwa wa watu hakukuwahi kutokea maafa popote pale na leo watu walikuwa na furaha tele za kuwa na kipindi chao hivyo hakukuwa na sababu zozote za polisiccm kutumia risasi za moto na mabomu ya machozi ili tu kuanzisha vurumai.
tatizo hao watu hawakuja kwa hiyari yao walikodiwa kutoka machimbo ya mwime na mwabomba hawa watu wasiokuwa wenyeji wa kahama wangeweza kufanya lolote na kutokomea, kilichofanyika ni kwa usalama wa lissu mwenyewe na mali za watu, hiyo hotel ingechomwa moto usiku siwangesema kahujumiwa
 

Amnesty accuses Tanzania gov’t of stifling dissent ahead of polls​

Authorities have clamped down on the rights to freedom of expression and peaceful assembly, according to Amnesty.

12 Oct 2020

Tanzanian President John Magufuli’s government has built up a formidable arsenal of laws to stifle all forms of dissent ahead of this month’s elections, rights group Amnesty International said in a new report on Monday.
Authorities have effectively clamped down on the rights to freedom of expression and peaceful assembly, according to the report.
Security forces have arrested opposition candidates on bogus charges, stripping them of their right to freedom of assembly, association and movement in recent months, amnesty claimed.
“Tanzania has weaponised the law to the point that no one really knows when they are on the right or wrong side of it,” Deprose Muchena, Amnesty International’s director for East and Southern Africa, said.
“Politicians have been arrested for holding or attending meetings, media houses suspended and banned, online activism criminalised, and NGOs stifled with endless regulations,” Muchena added.
The East African country is heading to the polls on October 28. President Magufuli is seeking a second five-year term and is being challenged by 14 other candidates.

Earlier this month, authorities suspended the election campaign of leading opposition candidate Tundu Lissu for seven days over accusations of inciting violence in the run-up to the vote.
The National Electoral Commission said the decision was taken by its ethics committee after it received two complaints from the ruling party and another party about the language Lissu had used on the campaign trail.
Lissu said the ban was “unacceptable”, calling the decision “another proof of a discredited electoral commission and a compromised electoral system”.

Lissu returned to Tanzania in July from Belgium where he had gone for treatment three years ago after being shot 16 times in an assassination attempt in September 2017.
In June, nine opposition politicians were arrested for allegedly holding an illegal assembly.
The same month, the operating license of opposition-leaning newspaper Tanzania Daima was revoked after it was accused of violating laws against spreading false information.

“President Magufuli must urgently reverse the decline in political and civil freedoms in Tanzania and ensure human rights defenders, activists and civil society organizations can carry out their work freely and independently without any fear of reprisals,” Amnesty’s Muchena said.
SOURCE : AL JAZEERA AND NEWS AGENCIES
Another rubbish kutoka kwa mashoga, wewe kazi yako ni ku-paste and copy bila kuwa na uelewa wowote wa kuangalia habari. Ukiona tu unaleta hapa unafikiri wote ni failures kama wewe.
 
tatizo hao watu hawakuja kwa hiyari yao walikodiwa kutoka machimbo ya mwime na mwabomba hawa watu wasiokuwa wenyeji wa kahama wangeweza kufanya lolote na kutokomea, kilichofanyika ni kwa usalama wa lissu mwenyewe na mali za watu, hiyo hotel ingechomwa moto usiku siwangesema kahujumiwa
Oohoo,punguza k.vant
 
Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi ndiyo adui mkubwa wa hawa mafisiem na wao wanajua hivyo na ndiyo sababu wanavihofia sana na hawataki hata kuvisikia.
Katiba haitungwi kama peremende na mataahira.
 
Angalia usije ukaenda kwenye fujo za wahuni wa Lissu utabakwa dada kuwa makini.
Wapuuzi kama wewe ndo wanaamin Lissu anapendwa na wahuni, inabidi mjue kuwa Lissu anapendwa na watu wenye akili timamu na kazi zao, wengine tunadiliki kuacha shughuli zetu za kiofisi ili twemde kwenye mikutano yake na kumshangilia alafu mpuuzi kama wewe na nzi wenzio wa kijani mnakuja kujipa moyo kuwa Lissu anapendwa na wahuni. Shame on you CCM!!
 
Lissu kwenye kampeni zake kishatembea mikoa mingi Nchini na pamoja na kwamba kulikuwa na umati mkubwa wa watu hakukuwahi kutokea maafa popote pale na leo watu walikuwa na furaha tele za kuwa na kipindi chao hivyo hakukuwa na sababu zozote za polisiccm kutumia risasi za moto na mabomu ya machozi ili tu kuanzisha vurumai.
Majungu hayo!
 
Kuna maccm yanadhani watu wa mitandaoni hatuna vichinjio, kwa taaraifa yenu tunavyo na tunasubiri kumchinja huyo muhutu kutoka chato.
20201012_220135.jpg
 
Wapuuzi kama wewe ndo wanaamin Lissu anapendwa na wahuni, inabidi mjue kuwa Lissu anapendwa na watu wenye akili timamu na kazi zao, wengine tunadiliki kuacha shughuli zetu za kiofisi ili twemde kwenye mikutano yake na kumshangilia alafu mpuuzi kama wewe na nzi wenzio wa kijani mnakuja kujipa moyo kuwa Lissu anapendwa na wahuni. Shame on you CCM!!
Shame on you because you are a coward, all your plans are known.
 
Violence Alert Tanzania Election

"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"

Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.

Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!

Msitishike maana hizo ni kampeni pia na hiyo inawainua.
By the way ni maagizo kutoka kwa mkurugenzi mahera wa nec.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Piga tu hao wavunja sheria, hakuna budi itabidi tu watii sheria kwa shuruti sasa
 
Shame on you because you are a coward, all your plans are known.
Sasa haka kakingereza kako ka uchochoroni ndo katawaongezwa uhalali na kupendwa na wananchi wenye kujielewa. Mbuzi kama ninyi ndo mipango yenu kila siku inajulikana na kugonga mwamba.
 
Violence Alert Tanzania Election

"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"

Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.

Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
Hii sio sawa ,ndugu zangu vyombo vya ulinzi jitahidini kuwa makini kipindi hiki wakati naambiwa kumuweka kwenye maombi ,mh IGP mwanzo sikuelewa ,lakini mungu ni shaidi mh IGP Nimemuombea Sana mpaka mda huu
 
On your dreams mate. Anza wewe kujaribu uone cha moto. Tanzania sio ya kuchezewa mark my words!
Sasa unatishia nani? Kwani hao polisi wana kinga gani zaidi ya hizo silaha zetu? Isitoshe hata hao askari wana ndugu zao watakaoathirika na matendo yao maovu!
Povu zako zote hapa zinategemea polisi na silaha zetu wala siyo matakwa ya wananchi!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wameyataka wenyewe ya kumkabidhi Nchi mtu ambaye hakustahili kukabidhiwa hata nyumba kumi kumi mtaani. Sasa inakula kwao wanabaki kuwategemea polisiccm na tumeccm ili kung'ang'ania madarakani.
Uvccm tulitegemea mda huu muwe mshafika kilimanjaro kukabiliana na moto, Sasa huo uzalendo pori wenu ni wa kuimba mapambio na kumsifu meko tu, linapokuja suala linalohitaji uzalendo mnajificha kama mnadaiwa kodi na faza house mzaramo [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom