Uchaguzi 2020 Kahama: Polisi wapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliojaa nje ya hotel aliyofikia Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Kahama: Polisi wapiga mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi waliojaa nje ya hotel aliyofikia Tundu Lissu

Violence Alert Tanzania Election

"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"

Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.

Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
Wananchi wana mahaba na Lissu. Hawambiwi wala hawasikii
 
We kima, kwani hujui kuwa tarehe ya uchaguzi bado au??, siamin kama ccm imechukua akili yako kiasi umepoteza hadi kumbukumbu!!
Wewe ni binadamu na mimi ni kima umefurahi sasa? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kima mwenyewe humfahamu umezoea kukariri tu aibu!

Officially ignored.
 
Violence Alert Tanzania Election

"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"

Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.

Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
Waambie kesho chato ndio tunabeba wote hadi shangazi zake kwa upendo na haki wanatupa kura zao.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mbona hayo maanadamano hafanyi huko.ikungi ambako ndo kwao?
Yeye anataka watoto wa wengine ndo wapate shida?
Kwani akiwambia wasambae nani atamzuia
 
Hawa polisi wanafikirisha sana, hapakua na haja ya kutumia nguvu au kuwapiga wananchi mabomu, hapo wakiulizwa watasema wanalinda usalama wa Lissu dhidi ya wananchi
Ukimuacha mtu avunje sheria eti hana madhara ipo siku ataona ni haki kuvunja sheria na kumzuia itakua shida,
Acha wapigwe wajue sheria ni lazima ifuatwe na wasidanganyike na huyo mbelgiji baada ya uchaguzi anatimka nyie mnaozea jela au mmevunjwa miguu.
 
Wameingiwa woga mkubwa maccm. Hawaamini kile chama walichodai kimeshakufa kuvuta kuwa na uwezo wa kuvuta umati mkubwa kama huu.

hiki ndo kinawakera wakoloni wa lumumba
 
Huu nadhani ni mpango kabambe wa kishetani wa kuwatisha wananchi wasihudhurie mikutano ya mkombozi Mh. Tundu Antiphas Lissu. Kadiri watu wanavyozinduka na kuutambua uovu wa serikali hii ya awamu ya tano ndivyo viti walivyokalia hawa madikteta uchwara vinavyozidi kupata joto. Tarehe 28/10/2020 inavyozidi kusogea ndivyo joto hilo linavyozidi kuongezeka maradufu na muda si mrefu hivyo viti hawataweza kuvikalia tena...Shime wazalendo tusirudi nyuma, wameshalegea hawa, kuwaangusha ni kama kum-sukuma mlevi wa pombe!



Jamani CCM (chama cha mafisadi) roho zinawauma kweli kweli!​
 
Hivi ni sahihi watu wajae na maandamano eneo la hoteli? Kwanini wasingemsubiria sehemu ya uwanja Wa kampeni?

Kwenye hotel kuna kuwa na watu wengi sana wanaolala hapo aina tofauti, je hayo makelele yao ni sahihi?

Tufanye siasa tuache uchokozi Wa kutafuta huruma
 
Mngeanza ukombozi huko mnakoosha vibibi vizee. Tanzania tupo salama na yeyote anayeleta ujinga atakiona cha mtema kuni.
 
Hivi ni sahihi watu wajae na maandamano eneo la hoteli? Kwanini wasingemsubiria sehemu ya uwanja Wa kampeni?

Kwenye hotel kuna kuwa na watu wengi sana wanaolala hapo aina tofauti, je hayo makelele yao ni sahihi?

Tufanye siasa tuache uchokozi Wa kutafuta huruma
Wangewaacha tu usiku ukiingia watajiondokea wenyewe
 
Wangewaacha tu usiku ukiingia watajiondokea wenyewe
Ni ujinga tu, wakitaka wafikie ofisi za chama za mkoa au wilaya ili waepushe kusumbua wateja kwenye biashara za watu
 
Back
Top Bottom