Kahama: Rais Samia amwaga miradi

Kahama: Rais Samia amwaga miradi

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
2,823
Reaction score
2,466
photo_2021-12-16_08-33-56.jpg


===
Kwanza, Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Industral Park " ikiwa ni pamoja na mitaro yake pamoja na taa za barabarani,

Pili, Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stendi ya kisasa ya mabasi kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stendi kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 50 ya mikoani kwa kila siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo kiasi ambacho wanakahama wanatamani Rais Samia Suluhu asinga'tuke madarakani,

Tano, Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini kilometa 10.5 pamoja na mitaro yake pamoja na taa za Barabarani .
 
View attachment 2045659

===
Kwanza,Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili,Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoni kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano,Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
Hiyo stand inayotoa mabasi 100 ni ipi, acha kupiga debe za uongo... Kahama wanajenga kwa pesa za manispaa yao sio pesa ya Samia, bladifakeni
 
Stupidity shall never end. Wanavyokazia katoa hela utafikiri katoa za mfukoni kwake....... hizo ni kodi zetu na ndio kazi zinazotakiwa kufanya. Hamna ubunifu wa maana wa kuleta mageuzi ya kiuchumi.
Kwanini usiutumie ubunifu wako kuisaidia CHADOMO
 
Pesa zao ndio zipi? Stend ya Kahama inatoa magari mangapi?
Makusanyo ya kodi za manispaa, shuru wa mashine za Malunga na Kagongwa kwa siku inazidi 15m. Kwa siku malori zinatoka lori zaidi ya 15 zenye mchele ambapo lori moja ushuru ni 420,000sh.

Bado fuso zenye kubeba mchele wa kwenda mikoani nazo kwa siku zinaweza kutoka 10.. Nimewekeza Kahama kwenye mazao kwahiyo najua mzunguko ulivyo
 
View attachment 2045659

===
Kwanza,Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili,Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoani kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano,Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
Hangaya mjanja Sana anamwaga mihela sukumagang,maana anajua huo ndo mtaji wa kuingia Ikulu.

Ukijitenga na sukumagang,
Ukijitenga na JPM.
Unaangukia pua asubuhi siyo jioni.

Au nasema uongo ndugu zangu!
 
Back
Top Bottom