Kahama: Rais Samia amwaga miradi

Kahama: Rais Samia amwaga miradi

View attachment 2045659

===
Kwanza,Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili,Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoani kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano,Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
Munaishiaga kutoa ahadi tu, na sio kutekeleza kile mlichoahidi.

Tazama machinjio ya vingunguti, mpaka leo ni miaka mingapi imepita (tangu mulipo ahidi) na haijakwisha?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Munaishiaga kutoa ahadi tu, na sio kutekeleza kile mulicho ahidi.

Tazama machinjio ya vingunguti, mpaka leo ni miaka mingapi imepita (tangu mulipo ahidi) na haijakwisha?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Watakuambia mama katoa pesa,wakati ni pesa ya serikali wakti kwao mchambawima hakuna chochote
 
Hangaya mjanja Sana anamwaga mihela sukumagang,maana anajua huo ndo mtaji wa kuingia Ikulu.

Ukijitenga na sukumagang,
Ukijitenga na JPM.
Unasngukia pua asubuhi siyo jioni.

Au nasema uongo ndugu zangu!
Hagaya hana ukanda wala ukabila mkuu wangu,
 
Bajeti ya serikali = Mapato ya ndani + Misaada toka nje + Makusanyo ya kodi
sijakuelewa unamainisha nn unaposema mapato ya ndani na kodi.kumbe kodi si mapato ya ndani?we need to know what are sources of gvt revenues?
 
View attachment 2045659

===
Kwanza,Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili,Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoani kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano,Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
Khaaaa,


Ila Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,

Rais Samia anafanya mambo makubwa sana lazima tukubali,

Stendi ya Kahama ilikwama muda mrefu sana,

#MAMA CHAPA KAZI TUKO NA WEWE
 
View attachment 2045659

===
Kwanza,Rais Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya TZS 12.6BL kujenga kilometa 12.6 za Lami kuzunguka eneo la Viwanda la UMMY MWALIMU Yaani "Ummy Mwalimu Investment Centre "ikiwa ni pamoja na mitaro na taa za barabarani,

Pili,Rais Samia Suluhu Hassan atajenga Stand ya kisasa kwenye eneo hili la uwekezaji pamoja na soko la kisasa ambalo litabeba wamachinga wote wakiwemo Mamalishe,

Tatu,Rais Samia pia anajenga Stand kuu ya mabasi ya Mbulu,mtakumbuka Kahama inatoa mabasi zaidi ya 100 ya mikoani kwa siku hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,

Nne, Rais anajenga pia Soko la Sango litakalochukua wajasiriamali zaidi ya 1,200 kwa mkupuo,

Tano,Sihivyo tu,Rais Samia Suluhu Hassan pia ametoa TZS 10.5BL kwaajili ya Ujenzi wa barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
Upumbavu na ujinga wa wananchi ndio mitaji ya Wanasiasa.. Shame on ccm.
 
sijakuelewa unamainisha nn unaposema mapato ya ndani na kodi.kumbe kodi si mapato ya ndani?we need to know what are sources of gvt revenues?

Mkuu unataka tena tuanze kutafuta dikshenari za wizara ya fedha?

Kama unaona vipo sawa kitoe kimojawapo, hiyo equation itaendelea kubaki sahihi...

Ngoja nikurahisishie...

Bajeti ya serikali = Mapato ya ndani + Fedha za wahisani
 
Back
Top Bottom