Kahama: Rais Samia amwaga miradi

Lofa wewe, Hilo jengo la OPD unafahamu limeanza kujengwa lini na Nani alizindua pamoja na jengo la halmshauri?
Unafahamu linajengwa kwa pesa zipi?

Hakuna stand imeanza kujengwa Kahama mbwa wewe uwe unaelewa.
2020 stand ilichimbwa na kuwekwa mawe na kifusi,ccm wakaja na kusema wamejanga stand wakti stand haijajengwa
 
Halafu ulivyo lofa hapo umeandikiwa ni mapato ya ndani ya halmashauri na bado unaleta ngonjera za kumsifia kahaba wako kutoka Makunduchi nyamafu wewe
Kama ni Mapato ya ndani kwani Arusha haijawazidi? Kama mna uchumi mkubwa kwa nini visi reflect kwenye mapato?
 
Lofa wewe, Hilo jengo la OPD unafahamu limeanza kujengwa lini na Nani alizindua pamoja na jengo la halmshauri?
Unafahamu linajengwa kwa pesa zipi?

Hakuna stand imeanza kujengwa Kahama mbwa wewe uwe unaelewa.
Kubwa la malofa ni wewe,kama limeanza kujengwa zamani kwa nini halikumalizika hiyo zamani? Ulitaka akumalizie nani?

Rubbish 🚮🚮
 
Kubwa la malofa ni wewe,kama limeanza kujengwa zamani kwa nini halikumalizika hiyo zamani? Ulitaka akumalizie nani?

Rubbish [emoji706][emoji706]
Kwahiyo limeshamalizika we lofa?
La halmashauri si uliona limemalizika
Kwahiyo jengo likiwa linaendelea kujengwa likaisha kipindi flani ndio kahaba wako anakuwa amesababisha?
Nitakuambia wewe lofa una bahati nimeghairisha
 
2020 stand ilichimbwa na kuwekwa mawe na kifusi,ccm wakaja na kusema wamejanga stand wakti stand haijajengwa
Yale mawe wakayaondosha sijui waliyapeleka wapi mpaka leo majibu unaambiwa tunasubiri pesa world bank wameshaapprove
Ngonjera zilianza enzi za Kikwete akaja Magufuli akatamka stand ianze kujengwa tukaona holaaaa Leo Hawa uvccm wanaleta hadithi wakati tupo Kahama hapa hakuna stand Wala soko.
Barabara ya Kuelekea Dodoma ya Kahama ndio imewekwa lami uchwara sijui Kama zinafika kilomita tatu zile.
Jengo la halmashauri limejengwa kwa pesa za ndani sio serikali kuu, majengo ya hospital yanajengwa kwa pesa za ndani.
Na yameanza kujengwa kabla huyu mama hajawa Rais na Magufuli aliyazindua halafu leo wanatuletea ngonjera sijajua wanalipwa, wanapoteza kumbukumbu, hawajielewi, wanarogwa au makusudi tu.
 
Uvivu wa kufikiria. Dkt Magufuli kazi yake tuliiona kwa zaidi ya miaka 20, tukamuamini na akaja kuwa rais na akatutendea yaliyo mema sembuse Mama yaani hana rekodi yeyote mnampamba eti kafanya kazi, muacheni kumdanganya danganya kwa uongo wenu
Hata mimi kuna watu huwa nawashangaa huyu bibi alishawahi kuwa na rekodi gani ya kiutendaji? Hamna kitu!
 
Asante Samia,

Asante Kahama,
 
Unapingana na Mkurugenzi?
Uwe unaelewa...
Kahama sio China ni Tanzania na Watanzania wanaishi, suala la ujenzi sio vuzi kwamba limejificha kwenye chupi, ujenzi ni kitu kinaonekana,hapa Kahama hakuna ujenzi unaoendelea wa stand wala soko hebu acheni porojo za tangu 2014 mpaka sasa.
Jengo la halmashauri limejengwa kwa pesa za ndani limeshakamilika, majengo ya hospital yanaendelea kujengwa yanakaribia kukamilika nazo ni pesa za ndani na hayajaanza kujengwa leo, Sasa mnapoanza kuleta porojo za kusifiana na huyo Bibi yenu wa Makunduchi ndio tunawashangaa nyie chawa siku hizi mnajiita nyuki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…